Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba SC hatujacheza lakini mkuu, tusubiri ila Nina Imani tunapita Leo.Kundi Bora limepeleka nusu fainali timu tatu.
Simba
APR
Singida.
Mengine ni majungu tu.
Sidhani kama ni kundi bora, bali ni kundi la walio serious na Mapinduzi cup. Yanga na Azam waliotoka ndio vinara wa ligi kuu kwa sasa.Kundi Bora limepeleka nusu fainali timu tatu.
Simba
APR
Singida.
Mengine ni majungu tu.
Kwa hiyo point yako ni nini?Sidhani kama ni kundi bora, bali ni kundi la walio serious na Mapinduzi cup. Yanga na Azam waliotoka ndio vinara wa ligi kuu kwa sasa.
lete videoWanajamii naombeni sababu za kitaalamu zilizofanya goli la Azam kutokuwa offside.
Kwakuwa marejeo ya video yanaonyesha kabisa aliefunga goli alizidi.
Ni kweli kundi bora kwenye mapinduziKundi Bora limepeleka nusu fainali timu tatu.
Simba
APR
Singida.
Mengine ni majungu tu.
Point yangu ni kwamba Yanga hawakuwa serious na mashindano ndio maana max, Pacome na Aucho wameachwa wale bata.Kwa hiyo point yako ni nini?
Mlijilegeza mkafungwa?
Umemsahau Yao na Sure boy nao wanakula bata.Point yangu ni kwamba Yanga hawakuwa serious na mashindano ndio maana max, Pacome na Aucho wameachwa wale bata.
Sasa hii ni point au pwenti?Point yangu ni kwamba Yanga hawakuwa serious na mashindano ndio maana max, Pacome na Aucho wameachwa wale bata.
Wewe mwasibu unaonaje?Sasa hii ni point au pwenti?
Punguzeni utetezi wa kitoto. Pigeni kimya maendelee na mambo mengineWewe mwasibu unaonaje?
Ushabiki wa kijinga ... Umepoteza mchezo kubaliPoint yangu ni kwamba Yanga hawakuwa serious na mashindano ndio maana max, Pacome na Aucho wameachwa wale bata.