mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kalimangonga Ongara ni mtoto wa mjini,tangu aichukue timu kuna mabadiliko nayaona.
Timu imeamua kuwa ya kihuni kama wahuni wa jangwani na msimbazi.
Azam sasa kuna viashiria vya kununua mechi kama wanajangwani
Azam sasa kuna viashiria vya ndumba kama msimbazi
Azam sasa wanafanya uhuni kwenye usajili kwa kupora wachezaji kibabe kama wenzao
Huu ni uhuni mzuri sana unaleta ushindani kwenye mpira wetu.
Nilishangaa Qatar walivyotaka kutenganisha mpira na uhuni.
Miaka yote Azam olikuwa inafeli hapa.
Simba inafeli sasa sio sababu ya Mo wala nani bali Hans Pope
Nani hajui ubabe wake,aliwahi kuwachana live Chama na Kapombe walipocheza chini ya kiwango,Simba ya sasa hakuna mtu anaweza kumchana Chama
Chini ya Hans Poppe Aziz ki ,Adebayo na Manzoki wangekuwa Simba.
Mpira ni mchezo wa kihuni
Tutarajie ushindani na ligi bora
Timu imeamua kuwa ya kihuni kama wahuni wa jangwani na msimbazi.
Azam sasa kuna viashiria vya kununua mechi kama wanajangwani
Azam sasa kuna viashiria vya ndumba kama msimbazi
Azam sasa wanafanya uhuni kwenye usajili kwa kupora wachezaji kibabe kama wenzao
Huu ni uhuni mzuri sana unaleta ushindani kwenye mpira wetu.
Nilishangaa Qatar walivyotaka kutenganisha mpira na uhuni.
Miaka yote Azam olikuwa inafeli hapa.
Simba inafeli sasa sio sababu ya Mo wala nani bali Hans Pope
Nani hajui ubabe wake,aliwahi kuwachana live Chama na Kapombe walipocheza chini ya kiwango,Simba ya sasa hakuna mtu anaweza kumchana Chama
Chini ya Hans Poppe Aziz ki ,Adebayo na Manzoki wangekuwa Simba.
Mpira ni mchezo wa kihuni
Tutarajie ushindani na ligi bora