watu wengine sijui mnawaza kwa kutumia nini , kwamba yeye Azam hataki kombe [emoji3]Jibu ni rahisi tu, mmiliki wa Azzam ni mwanachama wa maisha wa Simba.
Kwahiyo wanataka kuisaidia Simba kupunguza gape ya point kitu ambacho hakitowezekana.
Geita in nani ww kwa Yanga...?? Yaan geita inayofungwa kila na timu toka ligi lianze ety unaleta porija zako kuwa imesumbua Yanga..!!! Kwanza ile mechi uliiangalia kweli, Yanga ilifungwa bao ngapi..?Nani aliwadanganya kuwa mna kikosi bora akati Geita Gold iliwasumbua vizuri tu . Binafsi naona Simba SC ina kikosi bora kuliko cha Yanga msimu huu pia .
Simba kikosi inayo chemistry ndo hamnaNani aliwadanganya kuwa mna kikosi bora akati Geita Gold iliwasumbua vizuri tu . Binafsi naona Simba SC ina kikosi bora kuliko cha Yanga msimu huu pia .
Tulia mdogo wangu, Leo lazima nyie Utopolo mpasuke, kwa hujui kuwa matajiri wa Azam ni Simba kindakindaki? Tulieni mtafurahi wenyewe Leo..Nawashangaa azam kuanzia timu hadi tv wamepania vibaya hii mechi yao na yanga kuliko hata ambavyo walivyokua wakishiriki CAF confederation cup na hadi kufikia kutolewa kirahisi na timu ya Pyramids...
Najiuliza kwanini pressure hii wasingeitumia kwenye michuano ile labda angalau wangesonga mbele..au walijijua fika kuwa wasingeweza fika mbali?
Ifike pahala timu zetu wajifunze kukaza kwenye game za kimataifa ligi hii ipo tu...
Same tatizo hata kwa simba wameshindwa kushindana na kutoka kizembe wanakuja kuhaha kwa polisi tanzania.
Miutopolo bhana... utadhani yenyewe haijatolewa Champions league kwa kupigwa nyumbani na ugenini...
Hakuna mijitu mijinga kama minyani....
dogo naona kibao kimegeuka "umesimamiwa ukucha" weweTulia mdogo wangu, Leo lazima nyie Utopolo mpasuke, kwa hujui kuwa matajiri wa Azam ni Simba kindakindaki? Tulieni mtafurahi wenyewe Leo..
Mikia wanashindwaje kuloga?Simba anafungwa kwa kulogwa tu
Hawana pesa za kuchezeaMikia wanashindwaje kuloga?
Huo ndio ubingwa wako kumfunga simba tu...Idiot we, ety kwa kulogwa.. Ile siku mnakojolewa na Galaxy bao 3 ndani ya dakika 20 mlilogwa..???
Nyie no makolo tu,, yaan mwaka huu tunawapika nje ndani maanaa siku nyingi tunawahurumia, tunawafunga 1 nyingine tunawapa draw.. Mwaka huu no nje ndani dadeq
Nenda zako we, me huwa siongei na makolos.. Soka kutoka jangwani nadhani mnaliona na huu moto utaendelea hadi dunia inaimalizikaHuo ndio ubingwa wako kumfunga simba tu...