NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Azam FC imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Djibril Sillah kutoka Raja Club Athletic ya Morocco.
Kwa mujibu wa taarifa ya Azam FC, nyota huyo raia wa Gambia atatua nchini muda wowote kuanzia sasa ili kumalizia taratibu za mwisho.
My take Azam Fc wanashindwa nini kuangusha utawala wa Simba na Yanga maana wamekamilika kwa kila kitu.
Inawezekana wamekosa uchawi, Figisu na kuwalipa marefa??
Kwa mujibu wa taarifa ya Azam FC, nyota huyo raia wa Gambia atatua nchini muda wowote kuanzia sasa ili kumalizia taratibu za mwisho.
My take Azam Fc wanashindwa nini kuangusha utawala wa Simba na Yanga maana wamekamilika kwa kila kitu.
Inawezekana wamekosa uchawi, Figisu na kuwalipa marefa??