We ndo huelewi,ligi ya bongo bila huo upuuzi hutoboi,kama huamini angalia mechi ya yanga vs geita ccm kirumba mzunguko wa pili msimu uliopita.Mawazo mgando kuuliza kama timu imekosa uchawi, na kuwalipa marefa.
Vyote ulivyotaja havina uhusiano wowote na mpira.
Alikuwa kwa mkopo timu nyingine ya hapo hapo morroco. Na alifanikiwa kufunga goli 7 kwenye mechi 26 alizocheza.kumbuka mfungaji bora alikuwa ni sambou alikuwa na magoli 12.Nimeangalia mechi za Raja za robo na nusu fainali ya CAF CL dhidi ya Simba zote mbili na dhidi ya Ahly zote mbili, hakuwemo hata katika wachezaji wa akiba
Ni mawazo yako kusema ligi ya bongo hutoboi bila uchawi.We ndo huelewi,ligi ya bongo bila huo upuuzi hutoboi,kama huamini angalia mechi ya yanga vs geita ccm kirumba mzunguko wa pili msimu uliopita.
Soka lina sheria 17 dunia nzima. Na liko chini ya FIFANadhani unaongelea soka la Ulaya na America, ila siyo la Africa, hususani Bongoland.
Simba anafikaje robo fainali CAF na Yanga kafikaje Final CAF kama ni mwendo wa kuhonga?We ndo huelewi,ligi ya bongo bila huo upuuzi hutoboi,kama huamini angalia mechi ya yanga vs geita ccm kirumba mzunguko wa pili msimu uliopita.
Miquisone ulimuona bench la Al ahaly?Ulishawahi kumuona hata benchi?
huwa ni wapuuzi tu wanaoamini uchawi au fitina, kwa sababu tukivuka tu mipaka mambo huwa magumu kweli kwa vilabu vyetu......Ni mawazo yako kusema ligi ya bongo hutoboi bila uchawi.
Lakini wenye mawazo kama yenu mkikutana na Al Ahly, Waydad na Mamelodi mnaanza kusema quality ya wachezaji wa ligi ya Tz ni ndogo.
Hoja ya uchawi kuleta mafanikio katika soka la tz ni HOJA MFU.
Haina mashiko yoyote wala matokeo chanya yoyote.
Na NI UJINGA KUENDELEA KUAMINI UCHAWI NDIO UNAOLETA MATOKEO NDANI YA UWANJA.