bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Ndio Simba walishazoea vya kunyonga,Simba wamejaa ubahili wanataka kitonga tu.
Baada ya kuona kwa Benard Morrison wamefanikiwa wakaja na gia ile ile ya Urubuni ili wampate Feisal kwa Bure wakumbuke vya kunyonga vina faida na Hasara, naona kwa sasa wameangukia pua wafwate kanuni na taratibu tutawauzia Feisal na sio kutaka kupita mlango wa Nyuma.
Ndio kwa Kifupi timu inayoteseka na mafanikio ya Yanga kwa sasa ni Simba Azam kabaki kama mshindani tu, baada ya Mbinu zao chafu kugundulika na makapi ya Simba yote kuondolewa pale Yanga wamebaki wanaweweseka tu.
Azam katumika kama chambo pasipo na shaka kama dhuruma zao zingefanikiwa Feisal angeibukia Simba na Sio Azam hii ishu ilikua ya kimkakati sana.
Angalia gemu na Azam dogo akaanza kuleta mapicha ili yanga ipoteze mchezo na Simba kuikaribia Prof Nabi anakwambia dogo alikua kwenye mpango wa gemu ile mara ghafla dogo akachafua hali ya hewa.
Angalia gemu na Mtibwa Dogo akaleta mikwara yake tena akiwa Dubai ili kuitoa Yanga kwenye umakini ila Mungu alisaidia na Yanga ikashinda.
Tumeenda mapinduzi dogo kazua sintofahamu tena wanawasiliana na Saido.
Tukumbuke Saido hakuachwa Yanga kwa ishu za kushuka kiwango bali ni kuwa na mawasiliano ya karibu na Viongozi wa Simba Yanga ikielekea kucheza mechi ya Nusu fainali na Simba pale Mwanza.
Hongera Pro Nabi kwake hakuna Staa nidhamu ndio kila kitu akapendekeza Ntibazonkiza aachwe ataharibu timu.
Ndani na Nje ya uwanja Azam na Simba ni kama Sunche na Kapeto tu lengo lao kubwa likiwa ni kuidhoofisha Yanga.
Wanayanga ni wakati wa kushikamana sana na kuzidi kuiombea timu yenu kwani mna maadui wengi tu.
Mbona Safari ya Simba Dubai imekua ghafla sana kunani i predict baada ya kwenda Dubai na kufika salama watasajili mchezaji mkubwa kidogo.
Baada ya kuona kwa Benard Morrison wamefanikiwa wakaja na gia ile ile ya Urubuni ili wampate Feisal kwa Bure wakumbuke vya kunyonga vina faida na Hasara, naona kwa sasa wameangukia pua wafwate kanuni na taratibu tutawauzia Feisal na sio kutaka kupita mlango wa Nyuma.
Ndio kwa Kifupi timu inayoteseka na mafanikio ya Yanga kwa sasa ni Simba Azam kabaki kama mshindani tu, baada ya Mbinu zao chafu kugundulika na makapi ya Simba yote kuondolewa pale Yanga wamebaki wanaweweseka tu.
Azam katumika kama chambo pasipo na shaka kama dhuruma zao zingefanikiwa Feisal angeibukia Simba na Sio Azam hii ishu ilikua ya kimkakati sana.
Angalia gemu na Azam dogo akaanza kuleta mapicha ili yanga ipoteze mchezo na Simba kuikaribia Prof Nabi anakwambia dogo alikua kwenye mpango wa gemu ile mara ghafla dogo akachafua hali ya hewa.
Angalia gemu na Mtibwa Dogo akaleta mikwara yake tena akiwa Dubai ili kuitoa Yanga kwenye umakini ila Mungu alisaidia na Yanga ikashinda.
Tumeenda mapinduzi dogo kazua sintofahamu tena wanawasiliana na Saido.
Tukumbuke Saido hakuachwa Yanga kwa ishu za kushuka kiwango bali ni kuwa na mawasiliano ya karibu na Viongozi wa Simba Yanga ikielekea kucheza mechi ya Nusu fainali na Simba pale Mwanza.
Hongera Pro Nabi kwake hakuna Staa nidhamu ndio kila kitu akapendekeza Ntibazonkiza aachwe ataharibu timu.
Ndani na Nje ya uwanja Azam na Simba ni kama Sunche na Kapeto tu lengo lao kubwa likiwa ni kuidhoofisha Yanga.
Wanayanga ni wakati wa kushikamana sana na kuzidi kuiombea timu yenu kwani mna maadui wengi tu.
Mbona Safari ya Simba Dubai imekua ghafla sana kunani i predict baada ya kwenda Dubai na kufika salama watasajili mchezaji mkubwa kidogo.