Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Hapo jana team ya Azam Fc imezindua jersey bora zaidi duniani watakazo zitumia kwa msimu wa 2023/24
Jersey hizo zenye rangi ya Blue, Nyeupe na dhahabu zimevutia sana watu na wengi wakimiminika kkoo kwenda kuzipata ambapo zinauzwa kwa bei ya kizawa kabisa ya Tsh 25k tu kwa moja,
Simba na Yanga jifunzeni kutoa jersey kali kama hizi
Jersey iliyopagawisha watu yenye kutaradadi 😊 kama miujiza tu jersey hii unaipata kwa Tsh 25k tu
Away jersey, ina ubora sanaaaaaa,
Kikubwa kila mtu apate mtoko huu, jersey hii ukienda nayo bank kukopa hawakuombi dhamana,
Jersey hii ukienda nayo kwenye kikao cha wazazi shule unapewa seat ya mbele kabisa,
Jersey hii unaweza itumia kufungia harusi,
Jersey hii unaweza vaa na ukaruhusiwa kwenda nayo bungeni au ikulu bila shida, sio kama zile sare za ujenzi za Yanga 😂
Jersey hizo zenye rangi ya Blue, Nyeupe na dhahabu zimevutia sana watu na wengi wakimiminika kkoo kwenda kuzipata ambapo zinauzwa kwa bei ya kizawa kabisa ya Tsh 25k tu kwa moja,
Simba na Yanga jifunzeni kutoa jersey kali kama hizi
Jersey iliyopagawisha watu yenye kutaradadi 😊 kama miujiza tu jersey hii unaipata kwa Tsh 25k tu
Away jersey, ina ubora sanaaaaaa,
Kikubwa kila mtu apate mtoko huu, jersey hii ukienda nayo bank kukopa hawakuombi dhamana,
Jersey hii ukienda nayo kwenye kikao cha wazazi shule unapewa seat ya mbele kabisa,
Jersey hii unaweza itumia kufungia harusi,
Jersey hii unaweza vaa na ukaruhusiwa kwenda nayo bungeni au ikulu bila shida, sio kama zile sare za ujenzi za Yanga 😂