Azam wazindua Jersey bora zaidi Duniani

Azam wazindua Jersey bora zaidi Duniani

Hapo jana team ya Azam Fc imezindua jersey bora zaidi duniani watakazo zitumia kwa msimu wa 2023/24
Jersey hizo zenye rangi ya Blue, Nyeupe na dhahabu zimevutia sana watu na wengi wakimiminika kkoo kwenda kuzipata ambapo zinauzwa kwa bei ya kizawa kabisa ya Tsh 25k tu kwa moja,
Simba na Yanga jifunzeni kutoa jersey kali kama hizi
View attachment 2695100
Jersey iliyopagawisha watu yenye kutaradadi 😊 kama miujiza tu jersey hii unaipata kwa Tsh 25k tu
View attachment 2695102
Away jersey, ina ubora sanaaaaaa,
Kikubwa kila mtu apate mtoko huu, jersey hii ukienda nayo bank kukopa hawakuombi dhamana,

Jersey hii ukienda nayo kwenye kikao cha wazazi shule unapewa seat ya mbele kabisa,

Jersey hii unaweza itumia kufungia harusi,
Jersey hii unaweza vaa na ukaruhusiwa kwenda nayo bungeni au ikulu bila shida, sio kama zile sare za ujenzi za Yanga 😂
Hizi jezi hata hazieleweki, ubunifu hafifu tu, nachoona ni alama za vidole tu.
 
Hivi kule Azam complex si inapatikana? Niende nikajitwalie mapema sana
 
Hizi jezi hata hazieleweki, ubunifu hafifu tu, nachoona ni alama za vidole tu.
Chuki humchoma anayehifadhi 😂
Mwisho uzae mana si kwa kushikwa na uchungu huko 😂
 
Nitaisifia hadi pale nitapoona material yake...

Hata hivyo kwa picha za graphics, hiyo ya gold ina muonekano mzuri...
 
Hapo jana team ya Azam Fc imezindua jersey bora zaidi duniani watakazo zitumia kwa msimu wa 2023/24
Jersey hizo zenye rangi ya Blue, Nyeupe na dhahabu zimevutia sana watu na wengi wakimiminika kkoo kwenda kuzipata ambapo zinauzwa kwa bei ya kizawa kabisa ya Tsh 25k tu kwa moja,
Simba na Yanga jifunzeni kutoa jersey kali kama hizi
View attachment 2695100
Jersey iliyopagawisha watu yenye kutaradadi 😊 kama miujiza tu jersey hii unaipata kwa Tsh 25k tu
View attachment 2695102
Away jersey, ina ubora sanaaaaaa,
Kikubwa kila mtu apate mtoko huu, jersey hii ukienda nayo bank kukopa hawakuombi dhamana,

Jersey hii ukienda nayo kwenye kikao cha wazazi shule unapewa seat ya mbele kabisa,

Jersey hii unaweza itumia kufungia harusi,
Jersey hii unaweza vaa na ukaruhusiwa kwenda nayo bungeni au ikulu bila shida, sio kama zile sare za ujenzi za Yanga 😂
Hivi tatizo letu Bongo ni nini katika hizi Jerseys? ni ubunifu ama ni budget? Same design inabadilishwa rangi tu halafu watu wanajitamba tuna jersey bora kabisa!

Sitaki kuamini kwamba hatuoni wenzetu wanapotoa home, away and third kit huwa zote ni tofauti kwenye design!!!
 
Hivi tatizo letu Bongo ni nini katika hizi Jerseys? ni ubunifu ama ni budget? Same design inabadilishwa rangi tu halafu watu wanajitamba tuna jersey bora kabisa!

Sitaki kuamini kwamba hatuoni wenzetu wanapotoa home, away and third kit huwa zote ni tofauti kwenye design!!!
Katika hili naungana na wew kuwa Azam kazingua sana, jersey inabidi zitofautine bana, sio jersey sare tofauti rangi huu ni upuuzi Azam wameleta
 
Hapo jana team ya Azam Fc imezindua jersey bora zaidi duniani watakazo zitumia kwa msimu wa 2023/24
Jersey hizo zenye rangi ya Blue, Nyeupe na dhahabu zimevutia sana watu na wengi wakimiminika kkoo kwenda kuzipata ambapo zinauzwa kwa bei ya kizawa kabisa ya Tsh 25k tu kwa moja,
Simba na Yanga jifunzeni kutoa jersey kali kama hizi
View attachment 2695100
Jersey iliyopagawisha watu yenye kutaradadi 😊 kama miujiza tu jersey hii unaipata kwa Tsh 25k tu
View attachment 2695102
Away jersey, ina ubora sanaaaaaa,
Kikubwa kila mtu apate mtoko huu, jersey hii ukienda nayo bank kukopa hawakuombi dhamana,

Jersey hii ukienda nayo kwenye kikao cha wazazi shule unapewa seat ya mbele kabisa,

Jersey hii unaweza itumia kufungia harusi,
Jersey hii unaweza vaa na ukaruhusiwa kwenda nayo bungeni au ikulu bila shida, sio kama zile sare za ujenzi za Yanga 😂

*duniani
 
linakuja suala la jezi na creativity ninawakubali Cameroon na Wadau wao PUMA..... (Originality) hao wengine hakuna jipya ni marudio tu......

Hawa jamaa walikuja na sleeveless kit baada ya FIFA kuwapiga mkwara ikabidi ndani wavae tshirt nyingine...
1689937361975.png

1689937429282.png


Baada ya hapo wakaja na uzi wa moja kwa moja yaani juu na chini zimeungana..., kweli wanastahili tuzo ya Originality.....
1689937474594.png


Blatter was incensed.

He whined: “It goes against the laws of the game. The rules are very clear, there is one shirt, one shorts and one socks.

They cannot do it. You cannot play a game against the laws of the game. We are the guardians of the laws of the game – the laws are universal.”


Na kazi nzuri ya PUMA inaendelea mpaka huku (Unique)......
1689937683661.png
 
Back
Top Bottom