Maombi Yanahitajika. Ni Half time. WaTz hawa Wa Azam FC Wako nyuma Kwa Bao 1. Kimsingi Hawako Vibaya...ni game tu imekuwa Katili upande Wao kipindi cha Kwanza. MUHIMU...DUA.!
Sema hii mechi Azam kafanya juhudi sana kama yeye ndo angekuwa champions league nadhani group stage angefika make Pyramids sio kabisa, ukitaka kuwajua vizuri waulize wale waliopeleka game yao mwanza kiliwapata nini