Azam yamrejesha kikosini mwalimu Stewart Hall

Mbilimbi Mbovu

Senior Member
Joined
May 25, 2015
Posts
185
Reaction score
119
Taarifa hii imetolewa na mwanahabari Omari Katanga kupitia ukurasa wake wa Facebook, pengine kwenye kipindi cha michezo cha EFM tutapata taarifa kwa kina.

Kwa sasa habari iliyopo ndio hiyo!

==============================
==============================


 
Huyu mzungu anakuwa kama tiara mara aondoke mara arudishwe
 
Huyu mzungu anakuwa kama tiara mara aondoke mara arudishwe
Wana mihemko nae, wanamfukuza na kumrudisha... Mara ya mwisho nilisikia alikuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Soka cha Kidongo Chekundu kinachojengwa kwa ushirikiano wa Serikali, Klabu ya Sunderland na Shirika la Umeme la Symbion!
 
Huyu mzungu anakuwa kama tiara mara aondoke mara arudishwe
Azam wanacheza ngoma ya wenzao Simba na Yanga, hawajui kama viongozi wa upande ule wapo kama hawapo, wapige magumashi yao kisha wakagombee ubunge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…