Azam yatua EPL

Mkuu ukifanya comparison ni vizuri kuweka kwa currency moja. Ila nashukuru kwa hiyo info, siyo mbaya ukanielekeza ulipo pata hizo taarifa.
 
 
Aliye kwambia amekudanganya studio peke yake walitumia zaidi ya bilioni 40, Kandarasi alipewa mwingereza.
 
Kawaida sana siku za nyuma Star Tv waliwahi kuonesha, karibuni Tv1 na Eatv walikua wanaonesha so sioni jipya kwakua bado wameangukia kwa walichokua wakifanya wenzao
 
Pia wanaonyesha, Laliga, series A, championship, FA game zote, caf matches, na Carabao pia. Na league nyingine ndogondogo Jamaa wanahitaji pongezi 23,000
Bila kusahau Jupiter league ya akina Samata
 
Kuweka rekodi sawa, Dstv hawaonyeshi Bundesliga na King'amuzi chao kwasasa ni 99,000/=
Ni elfu 70 tu boss tena hadi gharama za ufundi, nafanya hizi kazi za kuvifunga mahala nakoishi.
.
Changu sijakilipia miezi minne sasa nadhani ni 209,210 inaonyesha Bundesliga ila i'm not so sure
 
Mbona wametoa matangazo UTV mpira ulipotaka kuanza tu?kama kuna mashart ili mtu uone mechi wangetuambia sasa niko home hata namna ya kutoka kuangalia game vibandani nashindwa
 
Azam wanazidi kupoteza credibility kwa wateja..yaleyale ya AFCON..
 
Star times wameng'oa Fox zote mbili yaani kumuona samatta tena mtihani.Ligi za Uholanzi,Belgium na ile ya kwa Trump zilinifanya binafsi nikasahau kabisa habari za Ligi ya uingereza.Sijawaelewa kwa kweli.Kuwauliza wanatoa majibu ya mkato mkato tu.
 
Star times wameng'oa Fox zote mbili yaani kumuona samatta tena mtihani.Ligi za Uholanzi,Belgium na ile ya kwa Trump zilinifanya binafsi nikasahau kabisa habari za Ligi ya uingereza.Sijawaelewa kwa kweli.Kuwauliza wanatoa majibu ya mkato mkato tu.
Tafuta espn ndiyo zimebadilisha jina na kuitwa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…