Mkuu ukifanya comparison ni vizuri kuweka kwa currency moja. Ila nashukuru kwa hiyo info, siyo mbaya ukanielekeza ulipo pata hizo taarifa.
Multichoice financial results for the year end March 2019, 29 June 2019
We take a look at the financial results for the year ending March 2019 for MultiChoice Group (after its unbundling from Naspers (NPN) earlier in the year. A few weeks ago the group stated they expected a loss of around R8 a share due to exchange rate losswww.southafricanmi.com
Yani umebold kabisa! Kwa nini isiwezekane?Haiwezekani kamwe
Kama alivosema Root Multichoce wametoa hela ndefu sana . Hii ni ya msimu wa 16-19Yani umebold kabisa! Kwa nini isiwezekane?
Aliye kwambia amekudanganya studio peke yake walitumia zaidi ya bilioni 40, Kandarasi alipewa mwingereza.Kama alivosema Root Multichoce wametoa hela ndefu sana . Hii ni ya msimu wa 16-19
Msimu wa 19-22 ambao walirenew mwaka jana tunategemea hela itakua ndefu zaidi ya hiyo. Sasa ukilinganisha na Azam ambao uwezekaji wao wote nasikia ni sh.50 billion huoni kama ni mbingu na ardhi mkuu?
Bila kusahau Jupiter league ya akina SamataPia wanaonyesha, Laliga, series A, championship, FA game zote, caf matches, na Carabao pia. Na league nyingine ndogondogo Jamaa wanahitaji pongezi 23,000
Belgian super leagueSerie A azam inaonyeshwa na Tv ya Italia tena moja moja.
Championship inaonyeshwa na Fox sports ambayo hivi sasa inabadilishwa jina kuwa ESPN Africa.
.
Ligi gani nyingine ndogondogo wanaonyesha utujuze?
ESPN Africa inapatikana visimbuzi vyote awali ilikuwa ikiitwa Fox sports nataka ambazo ziko Azam tuBelgian super league
Ni elfu 70 tu boss tena hadi gharama za ufundi, nafanya hizi kazi za kuvifunga mahala nakoishi.Kuweka rekodi sawa, Dstv hawaonyeshi Bundesliga na King'amuzi chao kwasasa ni 99,000/=
1 tu tena wanatoa KFS
Star times wameng'oa Fox zote mbili yaani kumuona samatta tena mtihani.Ligi za Uholanzi,Belgium na ile ya kwa Trump zilinifanya binafsi nikasahau kabisa habari za Ligi ya uingereza.Sijawaelewa kwa kweli.Kuwauliza wanatoa majibu ya mkato mkato tu.Sio kwamba Azam ni threat kwa DSTV haiwezekani kabisaa.Kwa mtaji walionao DSTV hata wakigawa bure kabisa madish yao na decoder kisha watu wakaanza kulipia vifurushi vyao bado wanaweza kujiendesha.Azam wanajitahidi lakin bado sana kufananisha au hata kuikaribia DSTV.Hata wenye madish yote mawili mara nyingi hupenda kuwasha DSTV.Azam inawashwa saa2 usiku kwenye habari na siku za VPL.Baada ya hapo unafunga.
Mteja wa DStv akilipia 19,000 kwa mwezi channel anazopewa ni pungufu kidogo tu kwa package kubwa ya Azam.Sasaivi Dstv(multichoice)wameshabalance mzani wa soko kwa hiyo ndo maana wanajiamini hata kupunguza vifurushi vyao na bando kampuni haiyumbi.Ni sawa na supersport ambao sasaivi hakuna mtangazaji mkubwa kuliko kituo.Hata baada ya kuondoka yule wa uefa(sikazwe)kama sijakosea bado Supersport ipo vizuri na haiwezi kuyumba.
Hata hivyo azam wapo vizuri ila wapambane kwanza na startimes maana ndo mshindani wao mkubwa sana.
Tafuta espn ndiyo zimebadilisha jina na kuitwa hivyo.Star times wameng'oa Fox zote mbili yaani kumuona samatta tena mtihani.Ligi za Uholanzi,Belgium na ile ya kwa Trump zilinifanya binafsi nikasahau kabisa habari za Ligi ya uingereza.Sijawaelewa kwa kweli.Kuwauliza wanatoa majibu ya mkato mkato tu.
Waliolipia elf 28 wanaona fresh tuAccess Denied