Azania Sec. School (SPECIAL THREAD)

Azania Sec. School (SPECIAL THREAD)

Short history;
Azania secondary school is among the oldest schools in the country, started to operate in the year 1933. This means it is now 88 years old (2021). Formally the school was owned by Tanzanians of Asian origin before taken by government in the year 1967. The school is situated in Charambe Street, along United Nations road, Upanga west ward in Ilala municipality in Dar es salaam region.

ALSO KNOWN AS BIG NATION😎

Uzi tayari.
Mkuu unemaliza mwaka gani
 
nilikuwa chukia sana nikisikia mtu anasoma azania hata ilo eneo naondoka yaani kiufupi ukitaka nichukie useme unasoma azania tena hiwe mbele ya mademu dah 🤣🤣🤣🤣🤣
Tulikuwa tunapendwa na mademu kingese

Na hio ndo sababu washakaji wa shule zingine walikuwa hawatupendi
 
daah kipindi icho mbunye mnato tu, maana ni denti mwenzako siyo ?
Aaaah asikwambie mtu kipindi hicho kupata mbunye ilikuwa bahati kinoooma.

Yaan demu akitaka akutege anapandisha sketi anakuonesha paja, bac mwamba unapagawa, huelew siku nzima unawaza paja tuu.

Ngoziye na yeye alikuwa anacheza kama Pele, yale mabashi nilikuwa nayatumia vizur knooma.

Madogo wa siku izi hawaelew hustle tuliopitia
 
Aaaah asikwambie mtu kipindi hicho kupata mbunye ilikuwa bahati kinoooma.

Yaan demu akitaka akutege anapandisha sketi anakuonesha paja, bac mwamba unapagawa, huelew siku nzima unawaza paja tuu.

Ngoziye na yeye alikuwa anacheza kama Pele, yale mabashi nilikuwa nayatumia vizur knooma.

Madogo wa siku izi hawaelew hustle tuliopitia
Me nilikuwa napenda tu madundo ila tatizo yalitawaliwa na o level jau kuvaa kijani ukaenda kwenye show. Sema sisi wakuchana sana freestyle za hiphop general wa temeke na rafiki yake udoba wa kigamboni
 
Nawakubali sana wanangu wa Aza boy , moja ya shule bora kabisa mjini Dar es salaam, inawakutanisha wanafunzi kutoka pande zote za jiji wakiwa na uwezo na vipaji mbalimbali. Nikiwa Azania sec nimekutana na vipanga , na Vijana wenye vipaji mbalimbali either mpira, kuchora, ku dance na kuimba .
 
Back
Top Bottom