Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
"Niliwauliza viongozi wa Simba Sc huyu kocha ametoka timu gani wakaniambia ametoka Vipers ya Uganda, niliwaambia mbona Vipers ni timu ndogo sana sisi tunataka kocha mkubwa sio kocha wa kutoka kwenye timu ndogo sisi malengo yetu ni makubwa”
Azim Dewji - Mfadhili wa Zamani wa Simba na mdau wa soka nchini akizungumza sakata la kocha Roberto Oliveira kutimuliwa.
Azim Dewji - Mfadhili wa Zamani wa Simba na mdau wa soka nchini akizungumza sakata la kocha Roberto Oliveira kutimuliwa.