Azim Dewji: Sio polisi tu wanabeba silaha, hata majambazi

Azim Dewji: Sio polisi tu wanabeba silaha, hata majambazi

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.

Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.

Soma Pia:

 
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.

Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.

Soma Pia:

Kutokana na matukio mabaya kabisa yanayoendelea kutokea hapa nchini, Vituo vya Polisi vimekuwa Siyo sehemu salama Tena kwa sasa.. Uwezekano wa kwenda ukiwa hai, na mzima ni mkubwa, lakini uwezekano wa kurudi ukiwa maiti ni mkubwa zaidi.

Hali inatisha sana kwa kweli, hali siyo shwari kabisa!

Siku hizi ukisikia kuwa ndugu yako, jamaa au rafiki yako ameitwa Polisi au amekamatwa na Polisi, basi unatakiwa ujiandae vizuri kisaikolojia kwa ajili ya msiba na mazishi yake, kwa sababu muda wowote ule unaweza kujulishwa au kupigiwa simu na kujulishwa kwamba nenda 'mochwali' ukachukue maiti ya ndugu yako.
 
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.

Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.
???
 
wazee wengine wanazeeka vibaya,kanjiabai alivyotekagwa pale gym alisema hivi au ndo nyani haoni kundule?
 
Aache kuongea kwa kujikombakomba
Hao wahalifu ndiyo wako humo
Kwenye PT

Ova
 
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.

Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.

Soma Pia:

Huyu mzee anataka kuharibu heshima yake bure
 
Mzee umekula umeshiba umjui mwenye njaa..ngoja njaa ifike kwako ndio utajuaa inavyoumaaa..
 
.. wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.

"Je mama amekubali uchunguzi huru?"

Uthibitisho tafadhali, ili kama vipi na wengine pamoja na majonzi tujikongoje kububujikwa machozi kama kina Lukasi na kumpa 5 mingine.

imhotep, Tlaatlaah na waungwana wengine, kwani lini tuliacha kupigania "fair deals?"
 
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.

Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.

Soma Pia:

Na wanavituo vya kuhifafhia watu wao, wana cruiser na unlimited resources
 
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.

Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.

Soma Pia:

Once evil, always devil
 
Back
Top Bottom