Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.
Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.
Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.
Kutokana na matukio mabaya kabisa yanayoendelea kutokea hapa nchini, Vituo vya Polisi vimekuwa Siyo sehemu salama Tena kwa sasa.. Uwezekano wa kwenda ukiwa hai, na mzima ni mkubwa, lakini uwezekano wa kurudi ukiwa maiti ni mkubwa zaidi.
Hali inatisha sana kwa kweli, hali siyo shwari kabisa!
Siku hizi ukisikia kuwa ndugu yako, jamaa au rafiki yako ameitwa Polisi au amekamatwa na Polisi, basi unatakiwa ujiandae vizuri kisaikolojia kwa ajili ya msiba na mazishi yake, kwa sababu muda wowote ule unaweza kujulishwa au kupigiwa simu na kujulishwa kwamba nenda 'mochwali' ukachukue maiti ya ndugu yako.
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.
Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.
Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.
.. wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.
Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.
Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.
Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.