Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Sishangai cruiser, nashangaa wanazo nyingi, unlimited resources, na police wanawapisha au kuwaoa ushirikiano kabisaKushangaa cruiser Tanzania ni kama upo Coco beach halafu unashangaa kumbe Coco beach kuna bahari.
Kwa yanayoendelea sioni dalili ya uhusika wa majambaziKazingua nini? Kwani majambazi hawabebi silaha?
Kwa yanayoendelea sioni dalili ya uhusika wa majambazi
90s mwishooni mpaka 2005 hivi,majambazi walitumia toyota surf,gari ambalo polisi hawakutumia,wahalifu wanna helaNa wanavituo vya kuhifafhia watu wao, wana cruiser na unlimited resources
Wanifaika wa mifumo mibovu hua wanajichuja wenyewe.Mfanyabiashara mashuhuri Azim Dewji ametoa msimamo wa kamati ya maridhiano na amani kufuatia kutekwa na kuuwawa kwa kiongozi wa CHADEMA Mohammed Ali Kibao ambapo amesema, wanalaani vikali kitendo cha mauaji ya kiongozi huyo na wanaungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuundwa kwa tume huru itakayofanyia uchunguzi mauaji yayo na kuwatia nguvuni wote walioshiriki kitendo hicho chas kinyama.
Azim Dewji amesema watanzania wasiwe wepesi kulishutumu jeshi la polisi kuhusika na tukio hilo kwani sio polisi pekee ndio wanabeba silaha bali hata majambazi nao wanabeba silaha na kuwateka watu kisha kuwauwa.
Soma Pia:
- Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
- Timu ya uchunguzi wa Makosa makubwa kutoka ofisi ya DCI yatumwa kuchunguza Mauaji ya Ally Mohamed Kibao wa CHADEMA
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
I remember those days, but then police wa sasa wana maboresho makubwa, they have resources, nini kinawakwamisha90s mwishooni mpaka 2005 hivi,majambazi walitumia toyota surf,gari ambalo polisi hawakutumia,wahalifu wanna hela
Unasahau ulikotoka,uliuliza majambazi kuwa na cruiser v8I remember those days, but then police wa sasa wana maboresho makubwa, they have resources, nini kinawakwamisha
Kama anadhani kwamba sasa hivi yeye na familia yake wanakula mezani kwa 'mfalme' basi ajue this time wanaenda kumzika mazima, halafu arudi kuja kupiga porojo zake.huyu Azim Dewji huyu ashukuru tu Mungu! kidogo na yeye angezika mwanae wakati ule! ashukuru kelele zetu! ila ipo siku yatamkuta