GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama Wewe Mjomba Mtu uliweza Kutusaliti mwaka 1993 kiasi kwamba hadi Profesa Sarungi kila akikuona tu anakuita Azim Msaliti leo hii unapata wapi huu Uhalali wa Kutuasa wana Simba SC tumpe Ushirikiano na tumuamini Msaliti Mtoto Mohammed Dewji ambaye ni Mpwa wako.
GENTAMYCINE nikiwa na Ushahidi na Kujiamini kabisa nasema MSALITI wa Matokeo mabaya ya Simba SC ni Mo Dewji.
GENTAMYCINE nikiwa na Ushahidi na Kujiamini kabisa nasema MSALITI wa Matokeo mabaya ya Simba SC ni Mo Dewji.