Azimio kichekesho lapitishwa na UNSC kuhusu vita Gaza

Azimio kichekesho lapitishwa na UNSC kuhusu vita Gaza

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Tangia jumatatu hadi jana ijumaa, ndiyo hatimaye azimio limepitishwa lenye kuwa na yote aliyoyataka beberu mwenye vita vyake Gaza.

2. Kwamba limepitishwa azimio kumtaka HAMAS kuwaachia mateka wote na bila masharti yotote ili kuweka mazingira mazuri ya hatimaye vita kusita!

IMG_20231222_230018.jpg


3. #2 hapo, hiki si ni kichekesho cha kufungia mwaka au ndoto za mchana mchana?

4. Kwamba #1 na #2 hapo beberu amekuwa akikomaa tokea jumatatu ile, hakuliki hakukaliki hadi maneno "kusitisha vita" (cessation of hostilities) yabadilike kuwa angalau "kuahirishwa vita" (suspension of hostilities) mara moja?

5. Hiyo #4 nayo bado akakomaa tena, kuwa kama hapo #2?

6. Kwamba hatimaye Russia imebidi kususa kupiga kura? Kwani ana nini Russia kimebakia duniani baada ya makando kando yake ya kule Ukraine?

7. Kwamba beberu pamoja na azimio lake hili, bado naye kalisusa kulipigia kura ya ndiyo? Ni dhahiri kuwa huyu ndiye bwana vita mwenyewe:

Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

8. #7 hapo; kwa hakika Iran anatafutwa kweli kweli.

9. Heko HAMAS kwa kutambua huna wajomba eala Shangazi hata uarabuni huko; "ya kuwa mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe:"

IMG_20231223_060109.jpg


10. Kwa hakika hata kwa dunia pia, kama Tanzania hazipo zama zile za wanaume na wanawake wa shoka; za kina Nyerere, Winnie, Mandela, Mugabe, Gaddafi, Saddam, Assad Sr, nk

11. #10 hapo labda sana sana anabakia Pyongyang anayeweza kusimama lau na kiduku kichwani akaonekana.

12. Kwa hakika kwa mujibu wa #11 kwingine kote takribani tumebakiza "wachumba wachumba" tu.
 
1. Tangia jumatatu hadi leo ijumaa hatimaye azimio limepitishwa lenye kuwa na yote aliyoyataka beberu mwenye vita vyake Gaza.

2. Kwamba limepitishwa azimio kumtaka HAMAS kuwaachia mateka wote na bila masharti yotote Ili kuweka mazingira mazuri ya hatimaye vita kusita?



3. #2 hapo, hiki si ni kichekesho cha kufungia mwaka au ndoto za mchana?

4. Kwamba #1 na #2 hapo beberu amekuwa akikomaa tokea jumatatu hakuliki hakukaliki hadi maneno "kusitisha vita" (cessation of hostilities) yabadilike kuwa "kuahirishwa vita" (suspension hostilities) mara moja?

5. Hiyo #4 nayo bado akakomaa Tena, kuwa #1?!

6. Kwamba hatimaye Russia imebidi kususa kupiga kura? Kwani ana nini Russia kimebakia duniani baada ya makando kando yake ya kijinga Ukraine?

7. Kwamba beberu pamoja na azimio lake hili bado nayee kalisusa kulipigia kura ya ndiyo, japo limepita? Ni dhahiri kuwa huyu ndiye bwana vita, na vita hivi ni vyake:

Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

8. #7 hapo, Kwa hakika Iran anatafutwa kweli kweli.

9. Heko HAMAS kwa kutambua huna wajomba Wala Shangazi hata uarabuni huko; ya kuwa mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe:



10. Kwa hakika Kwa dunia kama Tanzania hazipo zama zile za waungwana wa shoka za kina Nyerere, Winnie, Mandela, Mugabe, Gaddafi, Saddam, Assad Sr, nk

11. #10 hapo labda anabaki Pyongyang anayeweza kusimama akaonekana;,

12. Kwa hakika kwa mujibu wa #11 kwingine tumebakiza wachumba TU.
Halafu chadema wanategemea wazungu kuindoa ccm.
 
Halafu chadema wanategemea wazungu kuindoa ccm.

1. Hao ni Chadema uchwara wasiojitambua.

2. Wenye kujitambua na kujua wanachopigania wasingeacha kuwaunga mkono kina Mwabukusi kushinikiza katiba mpya.

3. Kwani kinachotakiwa nini, jatiba mpya au nani kafanikisha kupatikana?

4. Kwamba dunia inataka vita isimame, beberu Yuko busy anamtaka Iran Kwa gharama yote!

Ni ya msingi tukomae na haki wandugu bila kujali u CCM, u CDM, au u dini.
 
1. Tangia jumatatu hadi leo ijumaa hatimaye azimio limepitishwa lenye kuwa na yote aliyoyataka beberu mwenye vita vyake Gaza.

2. Kwamba limepitishwa azimio kumtaka HAMAS kuwaachia mateka wote na bila masharti yotote Ili kuweka mazingira mazuri ya hatimaye vita kusita?

View attachment 2850344

3. #2 hapo, hiki si ni kichekesho cha kufungia mwaka au ndoto za mchana?

4. Kwamba #1 na #2 hapo beberu amekuwa akikomaa tokea jumatatu hakuliki hakukaliki hadi maneno "kusitisha vita" (cessation of hostilities) yabadilike kuwa "kuahirishwa vita" (suspension hostilities) mara moja?

5. Hiyo #4 nayo bado akakomaa Tena, kuwa #1?!

6. Kwamba hatimaye Russia imebidi kususa kupiga kura? Kwani ana nini Russia kimebakia duniani baada ya makando kando yake ya kijinga Ukraine?

7. Kwamba beberu pamoja na azimio lake hili bado nayee kalisusa kulipigia kura ya ndiyo, japo limepita? Ni dhahiri kuwa huyu ndiye bwana vita, na vita hivi ni vyake:

Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

8. #7 hapo, Kwa hakika Iran anatafutwa kweli kweli.

9. Heko HAMAS kwa kutambua huna wajomba Wala Shangazi hata uarabuni huko; ya kuwa mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe:

View attachment 2850345

10. Kwa hakika Kwa dunia kama Tanzania hazipo zama zile za waungwana wa shoka za kina Nyerere, Winnie, Mandela, Mugabe, Gaddafi, Saddam, Assad Sr, nk

11. #10 hapo labda anabaki Pyongyang anayeweza kusimama akaonekana;,

12. Kwa hakika kwa mujibu wa #11 kwingine tumebakiza wachumba tu.
Hakuna taasisi naidharau kama hii, wanapoteza resource nyingi kwa maana ya gharama za kifedha na muda kwa upuuzi. Ni chombo moja cha hovyo sana kutokea duniani, kiliundwa kwa makusudi kabisa ili yake mataifa matano yenye kura za veto kulinda maslahi yao ni kama ukoloni fulani.
 
Njaa Mbaya Sana. ESAU kaka yake Yakobo aliuza Baraka zake kwa bakuli la dengu(Biblia kitabu cha mwanzo/Genesis). WAZAYUNI waendelee Kufinya hivyo hivyo Mpaka wavaa vipedo, misuli na makobazi wa Gaza wasalimu amri!
 
1. Tangia jumatatu hadi jana ijumaa, ndiyo hatimaye azimio limepitishwa lenye kuwa na yote aliyoyataka beberu mwenye vita vyake Gaza.

2. Kwamba limepitishwa azimio kumtaka HAMAS kuwaachia mateka wote na bila masharti yotote ili kuweka mazingira mazuri ya hatimaye vita kusita!

View attachment 2850344

3. #2 hapo, hiki si ni kichekesho cha kufungia mwaka au ndoto za mchana mchana?

4. Kwamba #1 na #2 hapo beberu amekuwa akikomaa tokea jumatatu ile, hakuliki hakukaliki hadi maneno "kusitisha vita" (cessation of hostilities) yabadilike kuwa angalau "kuahirishwa vita" (suspension hostilities) mara moja?

5. Hiyo #4 nayo bado akakomaa tena, kuwa kama hapo #1?!

6. Kwamba hatimaye Russia imebidi kususa kupiga kura? Kwani ana nini Russia kimebakia duniani baada ya makando kando yake ya kijinga jinga kule Ukraine?

7. Kwamba beberu pamoja na azimio lake hili, bado naye kalisusa kulipigia kura ya ndiyo? Ni dhahiri kuwa huyu ndiye bwana vita mwenyewe:

Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

8. #7 hapo; kwa hakika Iran anatafutwa kweli kweli.

9. Heko HAMAS kwa kutambua huna wajomba eala Shangazi hata uarabuni huko; "ya kuwa mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe:"

View attachment 2850345

10. Kwa hakika hata kwa dunia pia, kama Tanzania hazipo zama zile za wanaume na wanawake wa shoka; za kina Nyerere, Winnie, Mandela, Mugabe, Gaddafi, Saddam, Assad Sr, nk

11. #10 hapo labda sana sana anabakia Pyongyang anayeweza kusimama lau na kiduku kichwani akaonekana.

12. Kwa hakika kwa mujibu wa #11 kwingine kote takribani tumebakiza "wachumba wachumba" tu.
Kwao kicheko, kwako kichekesho.
 
Hakuna taasisi naidharau kama hii, wanapoteza resource nyingi kwa maana ya gharama za kifedha na muda kwa upuuzi. Ni chombo moja cha hovyo sana kutokea duniani, kiliundwa kwa makusudi kabisa ili yake mataifa matano yenye kura za veto kulinda maslahi yao ni kama ukoloni fulani.

Ndiyo maana DRC kaamua kuwatimua MONUSCO wakiwa kule 13 years na budget $6.3Bn kwa mwaka lakini tija, Sifuri.
 
Njaa Mbaya Sana. ESAU kaka yake Yakobo aliuza Baraka zake kwa bakuli la dengu(Biblia kitabu cha mwanzo/Genesis). WAZAYUNI waendelee Kufinya hivyo hivyo Mpaka wavaa vipedo, misuli na makobazi wa Gaza wasalimu amri!

Kwenye dini kuna brain washing ila ya mkristo nadhani ukiikuta inakuwa imepitiliza. Labda kuliko hata ISIS au Al Shabaab.

Shakahola na Kibwetere ni mfano tu.
 
Kwenye dini kuna brain washing ila ya mkristo nadhani ukiikuta inakuwa imepitiliza.

Shakahola na Kibwetere ni mfano wake.

Bongo wakute kwa Rashidi, wakandamizaji na wenzao huko 💥🔥!
Wavaa rozari wengi ni mbumbumbu hawajitambui Mackenzie ameweza kuua watu mia4 na zaidi. Halafu ukikuta wamebeba mikononi utadhani wanacho wanachokiamini!
 
na papa francis ameuza baraka zake kwa nani hadi kubariki mashoga na kuwa wabarikiwa
Papa Francis mtetezi wa Palestinians ambaye siku zote huwa haitetei Israel amekwenda kinyume na vitabu vitakatifu :Torah Pamoja na Bible. Imeandikwa katika Walawi/Leviticus 18:22",Usilale na mwanaume kama ulalavyo na mwanamke ni chukizo kwa Mungu". English translation, "“You shall not lie with a male as with a woman; it is an abomination.”Leviticus 18:22
 
Papa Francis mtetezi wa Palestinians ambaye siku zote huwa haitetei Israel amekwenda kinyume na vitabu vitakatifu :Torah Pamoja na Bible. Imeandikwa katika Walawi/Leviticus 18:22",Usilale na mwanaume kama ulalavyo na mwanamke ni chukizo kwa Mungu". English translation, "“You shall not lie with a male as with a woman; it is an abomination.”Leviticus 18:22

Na hawa nao?

IMG_20231216_142943.jpg
 
Back
Top Bottom