Azimio kichekesho lapitishwa na UNSC kuhusu vita Gaza

Napata raha sana wafuasi wa allah wanavyopata tabu mbele ya watoto wa Yakobo, wajukuu wa Isaka na vitukuu vya Ibrahimu.

Mungu aliwatoa Misri kwa mkono wa Musa Mulawi na Joshua akawathisha nchi ya ahadi.

Wataendelea kuwapiga mpaka kurudi kwa masihi Yesu christ.

NB: ukristo sio dini bali wote wanaomwamini Yesu Kristo ndio wakristo.
 
Naunga mkono hoja
Juzi hapa nilisema tokea nianze kujitambua na kuitambua vyema hio taasisi na utendaji kazi wake
Niligundua kwamba hakuna taasisi ya kimataifa ya hovyo kama hio
Wapuuzi wanahubiri demokrasia wakati wao wenyewe huko hawana hio wanayoiita demoghasia
Yaani dunia nzima ndio yao au hapana yao inaweza ikaamuliwa na wajinga wajinga watano wanao jiona wao ndio bora zaidi ya wengine
Upuuzi
 
Sasa hiv mpaka mjambe jews kawakalia vibaya na kwasasa wanamtafuta Iran
 
Sasa hiv mpaka mjambe jews kawakalia vibaya na kwasasa wanamtafuta Iran

1. Hivi viambishi "m* --> mjambe; "ka" --> kawakalia; sijui kama ni ugonjwa au ni umburula.

2. Hapo #1 sina hakika mnaviokota wapi.

3. Kumlaani mwisraeli hakuna cha kufanya na ushabiki uchwara kama mnaoonekana kuwa nao.

4. #3 Hapo kila mtu si mshabiki uchwara au hata mdini uchwara for that matter.
 
Wamtafute kwani kajificha wapi si wamfate huko alipojifichia au wanamuogopa?
Mzungu hakurupukagi Mzee. Anapiga hesabu zake kabisa akishinda vita anajilipaje na mafuta ya nchi yako. Achana na Babylonian system Chief
 
Wekeni matako chini waislamu, wanaume bado wanaendelea kusafisha Gaza ok punguzeni mayowe hamkumbuki vita vilianza vipi???

Vita hivi vya Gaza vitaishia palipo anzia ok na sio UNSC nyie tulieni bwana
 
Wekeni matako chini waislamu, wanaume bado wanaendelea kusafisha Gaza ok punguzeni mayowe hamkumbuki vita vilianza vipi???

Vita hivi vya Gaza vitaishia palipo anzia ok na sio UNSC nyie tulieni bwana

Kumbe hujui viliopoanzia? Mbona Dunia yote inajua? Au wewe unapaparika tokea pande za wapi?

 
Mzungu hakurupukagi Mzee. Anapiga hesabu zake kabisa akishinda vita anajilipaje na mafuta ya nchi yako. Achana na Babylonian system Chief
Narudia tena hakuna taifa litakalo ivamia iran mzee hakuna
Iran sio kama hawatamani kuivamia wanatamani sana
Ila iran atapiga kambi za marekani zote zinazohost majeshi mashariki ya kati nanje ya hapo atapiga mpaka ulaya na marekani kwenyewe
Kiufupi iran atapigwa ila sasa hao watakao mpiga iran baada ya kumpiga watakua taaban na hakuna mtu anaetaka PARIS LONDON NEW YORK ipigwe
Hakuna rais anaetaka majeshi yao yaliopo mashariki ya kati yateketee kama mpunga
Iran wanakua wanamuundia zengwe ndani kwake kama walivyo fanya kwa libya ili wakifanikiwa wawe wanapenyeza silaha wauane wenyewe wao wakija kuingia nchi iwe haina tena nguvu na wanafail tokea mwaka 80 walipo ipiganisha na Iraq wakaikosa ndio walifail pale kuipata tena iran hilo musahau
Njia pekee ya kumpiga iran eidha wafanikiwe kupandikiza kiongozi kibaraka ama walete machafuko ndani ya iran
Nje ya hapo msijidanganye mzee tena futeni hayo mawazo
Iran kashatimiza vigezo vyote vyakuchapwa na western ila wanajua kumchapa iran kutaambatana na gharama kubwa ambazo hakuna anaetaka zimkute
Kama unabisha tutakufa mie na wewe nawengine tutaiacha iran inapigagwa vikwazo na maneno matupu
Mafuta ya iran mazuri na wanayataka ila gharama zakuyachukua ndio tatizo
 
Yaan wewe mzungu anaogopa kufa akaweza kuitawala Dunia? We chiz kweli. Mtu anaemuangaisha hawa western muda huu ni mchina maana nguvu anazokuja nazo hapo juu sio za kitoto. Na mtu anaemuogopa kwa kias ni mrusi ndio walikuwa wanapambana kumpunguza nguvu. Iran wala hawapigan nae unatumiwa mtu tu kama Ukraine alivyotumwa kwa mrusi anakuivisha unalegea anawatengenezea mamluki mnapigana kama Libya yeye ni kuwaibia tu. Wazungu wanaishi kwa kupora Mzee na hawajali wao watakufa wangapi. Iran ni mtu anaetafutwa engo nzuri subir muda ufike. Uwe na silaha zipige mpaka NY kwao sio shida. Shida ni watimize malengo. So hawa jamaa ni washairisha kwenda mbinguni muda sana. Hawajali. Hicho kinachofanyika hapo Gaza angekuwa amefanya mrusi pale Ukraine ungesikia kelele zake. So usitoke sana mishipa ukadhan hii Dunia inaendeshwa katika mpangilio unaodhan ni sawa. Wanaoujua kudance namna mzungu anavyofanya wanaendeleza nchi zao.
 
Ndo mjue nchi yenye nguvu Duniani ni moja tu, Marekani,haya sasa ziko wapi nguvu za Urusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…