Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Vetu ndio nini? Inaitwa VetoHapo ni inatakiwa kura moja tu ya vetu Mambo yaendelee kama kawaida
Kumbe umeelewa nilifikiri hujaelewa halafu ukaulizaVetu ndio nini? Inaitwa Veto
Wewe Muisrael Mweusi wa Ngudu hauna unachokijuwa, Msikilize Muisrael Balozi wa UN baada ya azimio kupita anachoongea wewe punguani unapika kelele tu.Hapo ni inatakiwa kura moja tu ya vetu Mambo yaendelee kama kawaida
Bora hata ungekaa kimya vitu vingi ufahamu aisee hata ufahamu kesi inaendaje daaah JF kuna wajinga wengi mnoo Marekani kila siku anapambana ICJ wasitoe kibali cha kukamatwa viongozi wa Israel somo hii na mapunguani wenzako ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hivi ile kesi ya Africa Kusini ya kuwafunga Wayahudi wote iliishia wapi?
Yaani sheikh wangu RITZ AMEBAKI PEKE YAKE ANAPAPATIKA KILA SIKU NA VISTORY AMBAVYO HUISHIA HEWANI... ANAKAA TENA ANAJIPAPATUA ANAIBUKA NA UZI MWINGINE. WENZAKE WAMESHA M SHIT WAMEONA WAMEONGEA SANA NOTHING HAPPENED.
Kura zilizopigwa leo kumekuwa na ongezeko kwa sababu mataifa mengi wanachama wameguswa na uonevu wa Israeli wametamani sasa Palestina ikiwezekana iwe member wa kudumu wa UNWewe mlolole hujui lolote.
Niwie radhi mkuu nimekujibu kimakosa nilikuwa namjibu Muisrael mweusi wa Nachingwea.Kura zilizopigwa leo kumekuwa na ongezeko kwa sababu mataifa mengi wanachama wameguswa na uonevu wa Israeli wametamani sasa Palestina ikiwezekana iwe member wa kudumu wa UN
Poapoa haina noma mwanawaneNiwie radhi mkuu nimekujibu kimakosa nilikuwa namjibu Muisrael mweusi wa Nachingwea.
Bora hata ungekaa kimya vitu vingi ufahamu aisee hata ufahamu kesi inaendaje daaah JF kuna wajinga wengi mnoo Marekani kila siku anapambana ICJ wasitoe kibali cha kukamatwa viongozi wa Israel somo hii na mapunguani wenzako π
View: https://x.com/naksbilal/status/1789006341526483379?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Tunasubir veto iishe kichapo kiishie pale Rafah. Kwa kukusaidia West Bank masetler kila siku wanazid kuchukua maeneo yao waliopewa na Mungu.Wewe Muisrael Mweusi wa Ngudu hauna unachokijuwa, Msikilize Muisrael Balozi wa UN baada ya azimio kupita anachoongea wewe punguani unapika kelele tu.
View: https://x.com/suppressednws/status/1788953212126425334?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw