Mzee azimu Dewji mda mwingi alimtuhumu mzee wa objective football eti kwa kuwa hajawahi kuchukua makombe makubw, akaongea na wachezaji fuani ili team ifungwe Goli Tano iliwamfukuze.
Sasa wameleta huyu na kufukuza wachezaji bora wakaleta magarasa na sasa hamna kitu. Tunataka mzee Dewji ajitokeze na kusema wazi kwanini alimuchukia n akumhujumu kocha mburazili wakati sasa ndo hali imekuwa mbaya zaidi.
Yule kocha Rotabitnno hakuwa kufungwa nje ndani na team yoyeto ya kiarabu an angekuwepo tusingekuwa tunadhalilika kama sasa.
Viongozi wa simba na badhi ya wanachama hasa wanaohusika na usajili ndo watu wa ovyo wameihujumu team kw aamsalahi yao. Wachezaji hawalipwi madai yao kiasi kwamba inafanya simba iwe sehemu ya vuruguvurigu
Sasa wameleta huyu na kufukuza wachezaji bora wakaleta magarasa na sasa hamna kitu. Tunataka mzee Dewji ajitokeze na kusema wazi kwanini alimuchukia n akumhujumu kocha mburazili wakati sasa ndo hali imekuwa mbaya zaidi.
Yule kocha Rotabitnno hakuwa kufungwa nje ndani na team yoyeto ya kiarabu an angekuwepo tusingekuwa tunadhalilika kama sasa.
Viongozi wa simba na badhi ya wanachama hasa wanaohusika na usajili ndo watu wa ovyo wameihujumu team kw aamsalahi yao. Wachezaji hawalipwi madai yao kiasi kwamba inafanya simba iwe sehemu ya vuruguvurigu