uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Kibabage ni mzuri ila hana pasi ya mwsho nzuri na maamuzi yake huwa sio ya kutegemewaWa ku battle na Kapombe na Zimbwe wapo mbona!?
Ibrahim Bacca,Dickson Job hao unawachukuliaje?
Pia hata performance ya Kibabage unaichukuliaje?