Azimu Dewji ndo wanahujumu simba, Ilisema Kocha aliyepita hakufaa, sasa yako wapi?

Wa ku battle na Kapombe na Zimbwe wapo mbona!?
Ibrahim Bacca,Dickson Job hao unawachukuliaje?
Pia hata performance ya Kibabage unaichukuliaje?
Kibabage ni mzuri ila hana pasi ya mwsho nzuri na maamuzi yake huwa sio ya kutegemewa
 
Mbona mo anaongea Twitter au na yeye hajui hivyo vikao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…