Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #381
hizi pumba ooohh! nimelelewa kkoo,gerezani ndo zinawafany mpaka leo mpo mpo tu kazi kubadilisha vibagharashia mpaka vimebadilika rangi!
kama wewe unajiita msomi wa wajinga!
[HASHTAG]#mpumbavu[/HASHTAG] tu ndiye atakuamini wewe mzeze gagula!
Mkuu unayo ruhusa ya kutukana watu, lakini tutajie kwenu wapi na mchango wa watu wa kwenu kwenye uhuru wa Tanganyika.hizi pumba ooohh! nimelelewa kkoo,gerezani ndo zinawafany mpaka leo mpo mpo tu kazi kubadilisha vibagharashia mpaka vimebadilika rangi!
kama wewe unajiita msomi wa wajinga!
[HASHTAG]#mpumbavu[/HASHTAG] tu ndiye atakuamini wewe mzeze gagula!
Waswahili husema Usilo lijua ni usiku wa kizza, tongo tongo zimewajaa na husda. Historia inaeleweka vizuri lkn udini umekithiri ndani ya nafsi zao, bora kuwa dharau wanao leta ihstizai ktk historia ya kweli. Wabillahi Taufiq.Ili kuleta ushindani tupien hizo zilizobalance tusome jaman, tatizo liko wapi kwan jamni, unajua hapa mleta thread anaizungumzia dar kwa asilimia kubwa, na hiii ikumbukwe ni miji ambayo asilimia kubwa ni waislam.
Basi tutoe aziz ally tuandike Peter ili tubalance, kingine humu wanaobisha zaid ni wale wa mikoani
Mkuu Duduwasha kama unaona unadanganywa kosoa kwa hoja au usisome uzi wake as simple as thatAkili zako kama za wanasiasa wapumbavu hunyima haki na walionyimwa haki wakifhadhibika husema oh watu wanataka kuvunja Amani huku wakijua Uhuru ulitafutwa kwa ajili ya Uhuru na watawala wabovu hawatakiwi... Sasa na wewe ndio kundi hilo... Mimi sijakuzuia kusikia Wala siwezi ila nachopinga ni uongo ndani ya historia ambayo unaongozwa na udini... Na kana kwamba hiyo list ndio ilihangaika pekee na Uhuru .. Na pia atambue kuwa makini kwenye maandiko yake.. Huwa simuelewi kama anatafuta changamoto au hupenda tu kunogesha wasomaji vitu ambavyo huvichomeka...
MkuuKahinda,
Hiyo balance usemayo nitaitoa wapi ikiwa hakuna cha kubalance?
hebu hiyo kazi ya ''balancing,'' ifanye wewe ikiwa unaweza.
Inaelekea hujasoma kitabu cha Abdul Sykes ungekutana na Mzee
Rupia sehemu nyingi sana.
Atakae ithibati ya maneno yangu kuhusu John Rupia aangalie faharasa
ya kitabu changu ashuhudie katajwa mara ngapi.
Nashauri mngechukua muda lau mdogo wa kufanya utafiti kabla ya kuja
barzani kuchangia.
Wala hapa udini katika historia hii niliyoandika yote hayo yametokea.
Labda nikuulize hao walioandika historia ya uhuru na kuwafuta hawa
niliowaandika mimi wao walisukumwa na udini katika kuwafuta?
Naona kweli una mauza uza ndugu yanguMohamed Said unasema historia imewafuta kivipi?? Mbona mimi nimesoma historia na hawa watu wote unaowataja hapa wamo pia?? Mie ninachokipinga kwako ni umebase sana kwenye udini as if hao wengine wapagani na wakristo walikua magoi goi katika kutafuta huo uhuru. Kumbuka kua humo pia kuna wahindi na waarabu walikuwamo sijakuona ukiwataja kabisa dont say huwafahamu.
Angalizo: mimi ni muislamu ila udini noo kwangu.sisi ni watanzania na afrika ni moja.
Dahafrazerili,Swadakta sana Mzee wangu Moh'd.
Shukrani kwa Historia nzuri.
Manumbu1,Mkuu
Mohamed Said tafadhal usichoke kutupa darsa hao ni wale wenye macho lkn hawaoni wana masikio lkn hawasikii, vumilia usskujua mengi kutoka ktk historia ya kweli. Wabillahi Taufiq
Konsciouz,Nimeandika mengi katika kitabu cha Sykes nakushauri usome kitabuNilikua nasikiliza video kadhaa za Ustaadh Ilunga Hassan Kapungu... Na yeye anasema haya haya huku akienda mbali zaidi na kusema baada ya uhuru wa Tanganyika Nyerere got rid ya wazee hawa wengine akiwatia vizuizini na wengine kufariki vifo vya kutatanisha.
Kiukweli waislamu wameplay role kubwa sana kwenye uhuru wetu na wana deserve kupata credits kama huyo Nyerere... Ambaye alirukia kwenye bandwagon.
Mleta mada babu yangu pia alipata nieleza kua uhuru wa Tanganyika umechangiwa sana na Wafanyakazi wa Africa community. Naomba elimu zaidi hapa.
Na alinieleza Kawawa alikua mwonyesha sinema je hii nayo imekaaje?
Shukrani.
Wewe nini huelewi? Maana kila kitu nimeweka wazi hoja yangu asiweke chumvi zisizohitajika na historia ya Uhuru ipo tayari... Acha kucall kwa kufanya ni repeart nilichoandika tayari. Soma vizuri quote baada ya quote swali aliloulizwa mleta hoja halijibiwa na ndio limedhihilisha uongo na sifa za kijinga zimetumika na hazijakanushwa. Pls usiniquote pasipo na umuhimu.Mkuu Duduwasha kama unaona unadanganywa kosoa kwa hoja au usisome uzi wake as simple as that
Konsciouz,
mengi katika kitabu cha Sykes nakushauri usome kitabu
hicho.
Ingia hapa kupata historia ya marehemu Mzee Rashid Kawawa:
Mohamed Said: RASHID MFAUME KAWAWA KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
Konsciouz,
mengi katika kitabu cha Sykes nakushauri usome kitabu
hicho.
Ingia hapa kupata historia ya marehemu Mzee Rashid Kawawa:
Mohamed Said: RASHID MFAUME KAWAWA KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
Mkuu Kama hekaya we potezea, jukwaa ka celebrity kule kutakufaa... Wacha wengine tupate darasaNikiita hizi hekaya unachukia haya sawa
Mkuu nimekuzuia mimi kupata hilo darasa ?Mkuu Kama hekaya we potezea, jukwaa ka celebrity kule kutakufaa... Wacha wengine tupate darasa
hakuna anayekuchagulia , bali weye ndiye unajarobu kuwachagulia watu waamini kipi na kuacha kipi! weye kama unaona hizi hekaya ! tuache na hekaya zetu! wewe chapa lapa tu! .. haina haja ya kufanya vurugu ndani ya threadMkuu nimekuzuia mimi kupata hilo darasa ?
Huwezi kunichagulia nini cha kufanya jf hivyo na wewe nipotezee
Sio wewe uliyeniambia niende jukwaa la celebrity ? Mkuu mbona una kichwa kizito hivyo ,nimeshakuambia huwezi kunichagulia cha kufanya jf nisepe niende wapi ?hakuna
hakuna anayekuchagulia , bali weye ndiye unajarobu kuwachagulia watu waamini kipi na kuacha kipi! weye kama unaona hizi hekaya ! tuache na hekaya zetu! wewe chapa lapa tu! .. haina haja ya kufanya vurugu ndani ya thread
jukwaa la celebrity tuachie hekaya zetu!Sio wewe uliyeniambia niende jukwaa la celebrity ? Mkuu mbona una kichwa kizito hivyo ,nimeshakuambia huwezi kunichagulia cha kufanya jf nisepe niende wapi ?