Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

hizi pumba ooohh! nimelelewa kkoo,gerezani ndo zinawafany mpaka leo mpo mpo tu kazi kubadilisha vibagharashia mpaka vimebadilika rangi!
kama wewe unajiita msomi wa wajinga!
[HASHTAG]#mpumbavu[/HASHTAG] tu ndiye atakuamini wewe mzeze gagula!
 
hizi pumba ooohh! nimelelewa kkoo,gerezani ndo zinawafany mpaka leo mpo mpo tu kazi kubadilisha vibagharashia mpaka vimebadilika rangi!
kama wewe unajiita msomi wa wajinga!
[HASHTAG]#mpumbavu[/HASHTAG] tu ndiye atakuamini wewe mzeze gagula!
Mkuu unayo ruhusa ya kutukana watu, lakini tutajie kwenu wapi na mchango wa watu wa kwenu kwenye uhuru wa Tanganyika.
 
Waswahili husema Usilo lijua ni usiku wa kizza, tongo tongo zimewajaa na husda. Historia inaeleweka vizuri lkn udini umekithiri ndani ya nafsi zao, bora kuwa dharau wanao leta ihstizai ktk historia ya kweli. Wabillahi Taufiq.
 
Mkuu Duduwasha kama unaona unadanganywa kosoa kwa hoja au usisome uzi wake as simple as that
 
Nilikua nasikiliza video kadhaa za Ustaadh Ilunga Hassan Kapungu... Na yeye anasema haya haya huku akienda mbali zaidi na kusema baada ya uhuru wa Tanganyika Nyerere got rid ya wazee hawa wengine akiwatia vizuizini na wengine kufariki vifo vya kutatanisha.
Kiukweli waislamu wameplay role kubwa sana kwenye uhuru wetu na wana deserve kupata credits kama huyo Nyerere... Ambaye alirukia kwenye bandwagon.

Mleta mada babu yangu pia alipata nieleza kua uhuru wa Tanganyika umechangiwa sana na Wafanyakazi wa Africa community. Naomba elimu zaidi hapa.

Na alinieleza Kawawa alikua mwonyesha sinema je hii nayo imekaaje?
Shukrani.
 
Mkuu
Mohamed Said tafadhal usichoke kutupa darsa hao ni wale wenye macho lkn hawaoni wana masikio lkn hawasikii, vumilia usivunjike moyo lete darsa na atakae kerwa asiosome kwani wanaosoma nyuzi ni wengi wa dini mbali mbali wanaohitaji kujua mengi kutoka ktk historia ya kweli. Wabillahi Taufiq
 
Naona kweli una mauza uza ndugu yangu
 
Mkuu
Mohamed Said tafadhal usichoke kutupa darsa hao ni wale wenye macho lkn hawaoni wana masikio lkn hawasikii, vumilia usskujua mengi kutoka ktk historia ya kweli. Wabillahi Taufiq
Manumbu1,
In Sha Allah nitajitahidi kuweka hapa jamvini kila nilijualo katika
historia ya Tanzania.

Tafadhali tembelea www.mohammedsaid.com
 
Konsciouz,Nimeandika mengi katika kitabu cha Sykes nakushauri usome kitabu
hicho.

Ingia hapa kupata historia ya marehemu Mzee Rashid Kawawa:
Mohamed Said: RASHID MFAUME KAWAWA KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
 
Mkuu Duduwasha kama unaona unadanganywa kosoa kwa hoja au usisome uzi wake as simple as that
Wewe nini huelewi? Maana kila kitu nimeweka wazi hoja yangu asiweke chumvi zisizohitajika na historia ya Uhuru ipo tayari... Acha kucall kwa kufanya ni repeart nilichoandika tayari. Soma vizuri quote baada ya quote swali aliloulizwa mleta hoja halijibiwa na ndio limedhihilisha uongo na sifa za kijinga zimetumika na hazijakanushwa. Pls usiniquote pasipo na umuhimu.
 
Asante mzee wangu.
Konsciouz,
mengi katika kitabu cha Sykes nakushauri usome kitabu
hicho.

Ingia hapa kupata historia ya marehemu Mzee Rashid Kawawa:
Mohamed Said: RASHID MFAUME KAWAWA KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
Konsciouz,
mengi katika kitabu cha Sykes nakushauri usome kitabu
hicho.

Ingia hapa kupata historia ya marehemu Mzee Rashid Kawawa:
Mohamed Said: RASHID MFAUME KAWAWA KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
 
Mkuu Kama hekaya we potezea, jukwaa ka celebrity kule kutakufaa... Wacha wengine tupate darasa
Mkuu nimekuzuia mimi kupata hilo darasa ?
Huwezi kunichagulia nini cha kufanya jf hivyo na wewe nipotezee
 
hakuna
Mkuu nimekuzuia mimi kupata hilo darasa ?
Huwezi kunichagulia nini cha kufanya jf hivyo na wewe nipotezee
hakuna anayekuchagulia , bali weye ndiye unajarobu kuwachagulia watu waamini kipi na kuacha kipi! weye kama unaona hizi hekaya ! tuache na hekaya zetu! wewe chapa lapa tu! .. haina haja ya kufanya vurugu ndani ya thread
 
hakuna

hakuna anayekuchagulia , bali weye ndiye unajarobu kuwachagulia watu waamini kipi na kuacha kipi! weye kama unaona hizi hekaya ! tuache na hekaya zetu! wewe chapa lapa tu! .. haina haja ya kufanya vurugu ndani ya thread
Sio wewe uliyeniambia niende jukwaa la celebrity ? Mkuu mbona una kichwa kizito hivyo ,nimeshakuambia huwezi kunichagulia cha kufanya jf nisepe niende wapi ?
 
Maalim mzee Mohamed Saidi
Nakushukuru sanaaaaa tu Kwa kutufungua macho Na historia ya Tanganyika Na Zanzibar.
Baada ya kusoma kifo cha mzee Hanga alivyo rejea kutoka Uingereza NI kaunganisha Na habari za mzee Baruani Na mzee Aman Thani walivyo teswa magarezani Zanzibar Na Tanganyika.Uhuru sio bure watu wengi wamemwaga damu kututetea.
Mzee Mohamed Saidi namuomba MwenyeziMungu akuzidishie afya njema,muda mrefu wa kutujuza na kila la kheri
 
Sio wewe uliyeniambia niende jukwaa la celebrity ? Mkuu mbona una kichwa kizito hivyo ,nimeshakuambia huwezi kunichagulia cha kufanya jf nisepe niende wapi ?
jukwaa la celebrity tuachie hekaya zetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…