ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Acha kurukaruka kama popcornChezea Hamisa Mobeto wewe, jamaa hajawahi kufinyiwa kwa ndani huko kwao.
Makolo kumbe mmeumia

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kurukaruka kama popcornChezea Hamisa Mobeto wewe, jamaa hajawahi kufinyiwa kwa ndani huko kwao.

Mimi siumii kwa vitu vidogo kama hivi, mpira una nafasi ndogo sana kwenye maisha yangu.Acha kurukaruka kama popcorn
Makolo kumbe mmeumia![]()
Uongo bhana!Mimi siumii kwa vitu vidogo kama hivi, mpira una nafasi ndogo sana kwenye maisha yangu.
Kweli kabisa mpira naupenda na nimeucheza na ni mshabiki wa Simba lakini ushabiki wangu siyo wa kunifanya nipoteze muda mwingi kuongelea mambo ya Simba na Yanga kwani yana effect ndogo sana kwenye maisha yangu ya kila siku, tofauti na siasa kwani ndiyo zinaamua hatima ya nchi yetu na watu wake.Uongo bhana!
Umeelewa alichozungumzia au umejibu bila kushirikisha ubongoMwanaume unafatiliaje mshahara wa mwanaume mwenzako?
Mnaanza kututia shaka nyie wanaume wa daslama
It's true money can't buy life but before you make such assertion make sure you arleady have a lot of money.Money is not everything. Happyness matters. Bob Marley once said " money cant buy life"
Kumasi Ghana ina maajabu sana ile kitu. Engineer ilibidi atafute Delilah wa kumbakisha Aziz Jangwani. 😆🤣Dah kweli nimeamini...kumah ina nguvu kuliko milioni 97 kwa mwezi
Wakati fulani tuwe tunajifunza kuheshimu maamuzi ya mtu. Kupangiana maisha siyo poa hata kidogo. Aziz Kii ni mtu mzima. Hivyo ana haki ya kufanya maamuzi yake binafsi.Duru Zinasema Alipewa ofa ya deal nono, ila kaipiga chini kanogewa na hype anayopewa bongo, yawezekana msimu uliopita ndo ukawa ni msimu wake bora kwenye maisha yake ya soka na akajutia kuiacha hii ofa yenye mshahara mnono na sign fee kubwa
Stephane Aziz Ki ambaye hadi muda huu status yake inasoma ni mchezaji huru, mezani kwake ana ofa kutoka CR Belouizdad ya Algeria
Mshahara Milioni 97 za Kitanzania, ataingiziwa miezi mitatu kwa mkupuo mmoja sawa na Milioni 291
Free Apartment
Atapata Usafiri / Gari
Tiketi mbili za ndege
Wakati mnasuburi kauli ya Stephane Aziz Ki leo saa 8 mchana kuhusu hatma yake ya kusalia au kuwaaga Yanga hii ni moja ya ofa ambazo anazo mezani
Kama kum-foolish mtu rahisi mngefanya hivyo kwa Chama.Wamem- foolish kijana wa watu, ....likely watu waliomzunguka .
Pengine hana ndoto ..
In your wildest dreams. I doubt you know shit.Kabla hujazaliwa
Na ww ndo Mobeyto mwenyeweAziz Mobetto
Aziz Ki si mchezaji wa maana kabisa, ukiondoa mashuti yake ana nini cha ziada kiwanjani? Hajuwi kukaba na hana mchango wowote ndani ya team zaidi ya kupiga makombora tu.Duru Zinasema Alipewa ofa ya deal nono, ila kaipiga chini kanogewa na hype anayopewa bongo, yawezekana msimu uliopita ndo ukawa ni msimu wake bora kwenye maisha yake ya soka na akajutia kuiacha hii ofa yenye mshahara mnono na sign fee kubwa
Stephane Aziz Ki ambaye hadi muda huu status yake inasoma ni mchezaji huru, mezani kwake ana ofa kutoka CR Belouizdad ya Algeria
Mshahara Milioni 97 za Kitanzania, ataingiziwa miezi mitatu kwa mkupuo mmoja sawa na Milioni 291
Free Apartment
Atapata Usafiri / Gari
Tiketi mbili za ndege
Wakati mnasuburi kauli ya Stephane Aziz Ki leo saa 8 mchana kuhusu hatma yake ya kusalia au kuwaaga Yanga hii ni moja ya ofa ambazo anazo mezani