Tetesi: Aziz Ki aaga Yanga SC, ahusishwa na Simba SC

Tetesi: Aziz Ki aaga Yanga SC, ahusishwa na Simba SC

Rudi shule kiingereza rahisi hivo unatafasiri kinyume hivo.
 
wasije mtupia majini maana uto hawataki kuachika..
Ila mbona hajaaga,? Au mi ndo sijui kiinglishi
 
View attachment 3009617
Masaa 2 yaliyopita mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2023/2024 na mchezaji bora namba 2 Stephan Aziz Ki ametumia ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwaaga mashabiki, wanachama, viongozi, wachezaji wenzie na Rais wa Yanga na kuwatakia kheir.

Ilikuwa ngumu kama ambavyo Bin Kazumari aliripoti awali kwamba kutoa dola za kimarekani 500,000/ (1.3bn) kwa mkataba wa miaka 2 na mshahara wa dola 20,000/ (54M) kwa mwezi ilikuwa ngumu sana kwa Yanga ambayo msimu ujao wanaweza kuhitaji saini ya PACOME, YAOYAO, Max, ambao wanamaliza mikataba yao pia.
Shariti gumu pia ilikuwa ni kupata walau dola za kimarekani 250,000/ up front wakati anasaini mkataba.

Wakati huo huo vyanzo mbalimbali vinaripoti kwamba Simba SC wanahusishwa na kuhitaji huduma ya kiungo huyo mchezesha timu na MVP namba 2 wa NBCPL na wao wamemuahidi kumpa mshahara wa dola 20,000 alizotaka na dola 200,000/ kama malipo ya awali (up front payment) huku Yanga wao waliishia mshahara wa dola 15,000 na “makubaliano maalumu” ya malipo ya mafungu, ambayo wapasha habari wanasema mwanadinga huyo kutoka Burkina Faso na wakala wake hawakuwa tayari kwa mpango huo.

Kama kweli wacha tuone nini kinafunguliwa na andiko hili la Aziz Ki kuaga. Yanga watakubali aondoke licha ya ahadi ya Rais wao kwamba wachezaji muhimu wote HAWATAONDOKA klabuni hapo? Kweli atajiunga na Mnyama?

BIN KAZUMARI MTIPA (The voice of the voiceless)
Kila la heri kwake, Wana Yanga hatuna baya naye.
 
View attachment 3009617
Masaa 2 yaliyopita mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2023/2024 na mchezaji bora namba 2 Stephan Aziz Ki ametumia ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwaaga mashabiki, wanachama, viongozi, wachezaji wenzie na Rais wa Yanga na kuwatakia kheir.

Ilikuwa ngumu kama ambavyo Bin Kazumari aliripoti awali kwamba kutoa dola za kimarekani 500,000/ (1.3bn) kwa mkataba wa miaka 2 na mshahara wa dola 20,000/ (54M) kwa mwezi ilikuwa ngumu sana kwa Yanga ambayo msimu ujao wanaweza kuhitaji saini ya PACOME, YAOYAO, Max, ambao wanamaliza mikataba yao pia.
Shariti gumu pia ilikuwa ni kupata walau dola za kimarekani 250,000/ up front wakati anasaini mkataba.

Wakati huo huo vyanzo mbalimbali vinaripoti kwamba Simba SC wanahusishwa na kuhitaji huduma ya kiungo huyo mchezesha timu na MVP namba 2 wa NBCPL na wao wamemuahidi kumpa mshahara wa dola 20,000 alizotaka na dola 200,000/ kama malipo ya awali (up front payment) huku Yanga wao waliishia mshahara wa dola 15,000 na “makubaliano maalumu” ya malipo ya mafungu, ambayo wapasha habari wanasema mwanadinga huyo kutoka Burkina Faso na wakala wake hawakuwa tayari kwa mpango huo.

Kama kweli wacha tuone nini kinafunguliwa na andiko hili la Aziz Ki kuaga. Yanga watakubali aondoke licha ya ahadi ya Rais wao kwamba wachezaji muhimu wote HAWATAONDOKA klabuni hapo? Kweli atajiunga na Mnyama?

BIN KAZUMARI MTIPA (The voice of the voiceless)
Ujaona na ameiongelea na Familia yake!

ELIMU, ELIMU, ELIMU ni janga kwa Watanzania wengi!
 
View attachment 3009617
Masaa 2 yaliyopita mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2023/2024 na mchezaji bora namba 2 Stephan Aziz Ki ametumia ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwaaga mashabiki, wanachama, viongozi, wachezaji wenzie na Rais wa Yanga na kuwatakia kheir.

Ilikuwa ngumu kama ambavyo Bin Kazumari aliripoti awali kwamba kutoa dola za kimarekani 500,000/ (1.3bn) kwa mkataba wa miaka 2 na mshahara wa dola 20,000/ (54M) kwa mwezi ilikuwa ngumu sana kwa Yanga ambayo msimu ujao wanaweza kuhitaji saini ya PACOME, YAOYAO, Max, ambao wanamaliza mikataba yao pia.
Shariti gumu pia ilikuwa ni kupata walau dola za kimarekani 250,000/ up front wakati anasaini mkataba.

Wakati huo huo vyanzo mbalimbali vinaripoti kwamba Simba SC wanahusishwa na kuhitaji huduma ya kiungo huyo mchezesha timu na MVP namba 2 wa NBCPL na wao wamemuahidi kumpa mshahara wa dola 20,000 alizotaka na dola 200,000/ kama malipo ya awali (up front payment) huku Yanga wao waliishia mshahara wa dola 15,000 na “makubaliano maalumu” ya malipo ya mafungu, ambayo wapasha habari wanasema mwanadinga huyo kutoka Burkina Faso na wakala wake hawakuwa tayari kwa mpango huo.

Kama kweli wacha tuone nini kinafunguliwa na andiko hili la Aziz Ki kuaga. Yanga watakubali aondoke licha ya ahadi ya Rais wao kwamba wachezaji muhimu wote HAWATAONDOKA klabuni hapo? Kweli atajiunga na Mnyama?

BIN KAZUMARI MTIPA (The voice of the voiceless)
🚮
 
Kwanza hiyo makala imeandikwa na na nguru pori anajiita Bin Kazumira. Halafu anajaribu kucheza karata za kipuuzi ambazo hazimsaidii kitu. Yan nachokifanya waandisgi wenzake walishafanya kwa kujaribu kumdalalia mchezaji. Jamaa lilishaishiwa hakuna linachojua zaidi ya kutoa uharo tu
 
Ni mimi ndio sijui kiinglish au?,maana ninavyoona huo ujumbe ni kwamba anatoa shukrani kwa ajili ya msimu ulioisha.
 
Kwa sasa Yanga ina timu bora kuliko Simba,Aziz K hawezi kwenda Simba kucheza shirikisho,hata akiondoka Yanga ni rahisi kwenda Azam kuliko Simba
 
View attachment 3009617
Masaa 2 yaliyopita mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2023/2024 na mchezaji bora namba 2 Stephan Aziz Ki ametumia ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwaaga mashabiki, wanachama, viongozi, wachezaji wenzie na Rais wa Yanga na kuwatakia kheir.

Ilikuwa ngumu kama ambavyo Bin Kazumari aliripoti awali kwamba kutoa dola za kimarekani 500,000/ (1.3bn) kwa mkataba wa miaka 2 na mshahara wa dola 20,000/ (54M) kwa mwezi ilikuwa ngumu sana kwa Yanga ambayo msimu ujao wanaweza kuhitaji saini ya PACOME, YAOYAO, Max, ambao wanamaliza mikataba yao pia.
Shariti gumu pia ilikuwa ni kupata walau dola za kimarekani 250,000/ up front wakati anasaini mkataba.

Wakati huo huo vyanzo mbalimbali vinaripoti kwamba Simba SC wanahusishwa na kuhitaji huduma ya kiungo huyo mchezesha timu na MVP namba 2 wa NBCPL na wao wamemuahidi kumpa mshahara wa dola 20,000 alizotaka na dola 200,000/ kama malipo ya awali (up front payment) huku Yanga wao waliishia mshahara wa dola 15,000 na “makubaliano maalumu” ya malipo ya mafungu, ambayo wapasha habari wanasema mwanadinga huyo kutoka Burkina Faso na wakala wake hawakuwa tayari kwa mpango huo.

Kama kweli wacha tuone nini kinafunguliwa na andiko hili la Aziz Ki kuaga. Yanga watakubali aondoke licha ya ahadi ya Rais wao kwamba wachezaji muhimu wote HAWATAONDOKA klabuni hapo? Kweli atajiunga na Mnyama?

BIN KAZUMARI MTIPA (The voice of the voiceless)
Sasa hapo ndo Kaaga, au sijui ki English...
 
Hawezi kwenda Simba bado yupo sana Yanga na anaipenda Yanga kutoka moyoni, Makolo mtasubiri sana.
 
Ni drama za Mangungo tu hizo,Simba hatuna ujanja wa kumsajili Aziz Ki sema Mangungo limeanzisha hizo drama ili liendelee kung'ang'ania madaraka kutuhujumu tena msimu ujao.
 
Back
Top Bottom