Aziz Ki acha ushamba, Hamisa Mobeto hana hata Mahari ya kuku kumi (10)

Aziz Ki acha ushamba, Hamisa Mobeto hana hata Mahari ya kuku kumi (10)

Ukwer aziz k ametapeliwa akuna mahali y million 30 pale
Mkuu Aziz k ni Professional na siyo local player kwa hiyo ata wewe ukienda nchi za watu utauziwa bidhaa bei tofauti na wenyeji mfano yai moja linazwa mia tano wewe mgeni utauziwa elf tatu
 
Mkuu Aziz k ni Professional na siyo local player kwa hiyo ata wewe ukienda nchi za watu utauziwa bidhaa bei tofauti na wenyeji mfano yai moja linazwa mia tano wewe mgeni utauziwa elf tatu

Tatizo hajui rangi halisi ya Hamisa yeye anafikiri kaoa Mzungu
 
Wanaume wa bongo mna wivu wakuzidi kipimo, Hamisa kazaliwa humu humu kakulia hapa hapa mmempa mimba bila kumuoa sahizi mnamchamba ! Mbona hamna jema nyie, mwacheni mtoto wa mwanaume mwenzenu aolewe, hapa ndiyo najua watu huwa wanafurahishia shida za mtu.

Wanaume mmezidi umbeya na wivu
 
Hivi hii methali ya kiswahili huwa Ina maana Gani?mpaka Leo sijawahi elewa na Ile KATA PUA UUNGE WAJIHI,ama kweli safari za Marco polo ziligundua kiswahili 🤣🤣🤣

Hii inakwenda sawa na
“Ukiona cha nini mwenzio anawaza atakipata lini?”
Chochote ukionacho na kukidharau ama kuona hakistahili kuna mtu anapambana usiku na mchana akipate.

“Kata pua uunge wajihi”

Fanya lolote lile haijalishi ni hatari kiasi gani ama litakugharimu kiasi gani ili kutunza utu/heshima yako.
 
Wabongo mnavyojadili matumizi ya mtu mwingine ni kiboko hapo mnatamani Mobeto aachike ili mpate cha kuandika tena wahuni sio watu.
 
Nasikia waislam unatuhusiwa kumuolea mtu

Ova
 
Back
Top Bottom