ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Aziz Ki ashtakiwe na Jamhuri kwa kosa la kujaribu kuua kwa kukusudia siku ile ya Jumapili jioni (murder case)
Shauri linasema kuwa, ndugu Ki Aziz akiwa na akili zake timamu alitumia nguvu kupitiliza alipopiga faulo ya hatari na nzito kuelekea lango la mpinzani hivyo kuhatarisha usalama wa golikipa ambaye si tu ni baba wa familia lakini pia ni kipa tegemeo la taifa.
Hili halikubaliki na liwe fundisho kwa wengine.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Shauri linasema kuwa, ndugu Ki Aziz akiwa na akili zake timamu alitumia nguvu kupitiliza alipopiga faulo ya hatari na nzito kuelekea lango la mpinzani hivyo kuhatarisha usalama wa golikipa ambaye si tu ni baba wa familia lakini pia ni kipa tegemeo la taifa.
Hili halikubaliki na liwe fundisho kwa wengine.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app