Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
mimi sijui mpira ila tu ni mfuatiliaji wa takwimu na ni young africans die hard fanKuujua mpira siyo sawa na kunywa uji kuwa kila mjaluo anaweza kunywa uji.
Na wewe demu unabong'oa tayari kuletewa [emoji91]Kolo bhana mwanaume kaleta takwimu we unabwabwaja
Hiyo opinion iko based kwenye criteria ya goli Bora.mimi sijui mpira ila tu ni mfuatiliaji wa takwimu na ni young africans die hard fan
ila kwa hapa nadhani ni fact vs opinion
Jf inapaswa kua waangalifu sana kwenye kubeba takataka kama weweNa wewe demu unabong'oa tayari kuletewa [emoji91]
Alikuwepo mechi zote vs mwananchi Kuna alichofanya cha ajabu?tunavurugwaje na ka andunje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sakho anawavurugaa utopoloooo atakavyoooo. Yaan anawanyunyiza pili pili.
Woiiiiiiih
Vipi ushapiga kura??Alikuwepo mechi zote vs mwananchi Kuna alichofanya cha ajabu?tunavurugwaje na ka andunje
Mwanaume unayetumika kinyume cha maumbile kama ufanyavyo wewe ndiye takaaka tena najis kabisa ndiyo maana Mungu aliitia kiberiti Sodoma na Gomora.Jf inapaswa kua waangalifu sana kwenye kubeba takataka kama wewe
Sasa wewe baki na fact ila kumbuka pia ni fact kuwa no one remembers the second place.mimi sijui mpira ila tu ni mfuatiliaji wa takwimu na ni young africans die hard fan
ila kwa hapa nadhani ni fact vs opinion
Kwahiyo Sakho anafuata mfungaji bora? Au goli bora??? Kwanini mnataka sana siasa kila sehemu??? Acheni utotomimi sijui mpira ila tu ni mfuatiliaji wa takwimu na ni young africans die hard fan
ila kwa hapa nadhani ni fact vs opinion