Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
hii imekaa poaAZIZ KI: GOLI LANGU LA KWANZA KWENYE MECHI IJAYO NI KWA AJILI YA MH. MAVUNDE
Azizi KI Amemuaminisha mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, Anthony Mavunde kuwa goli la mchezo ujao litakuwa kwaajili yake (Mavunde) kwamba mwamba ana uhakika kabisa atafunga DUUUHHH!!!
Nyie Hamuogopiiiiii.....???[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
Ni kwaida sana kwenye soka na hata maisha kuwa na ups and downs. Angalia Man u au Chelsea thus ni jambo la mpito tuViongozi wa Simba , Mo na genge lake mmefanya simba ionekane kama maji maji ya songea,kila mtu anataka kujipigia tu
Huu unaoongea ni upumbavu mtupu kama utalinganisha simba ma Man U ama Chelsea.Ni kwaida sana kwenye soka na hata maisha kuwa na ups and downs. Angalia Man u au Chelsea thus ni jambo la mpito tu
AaahaaaaHuna baya master Ki.
Umetimiza ulichoahidi