Aziz Ki atua Dar kimafia kumalizana na Yanga, leo kujulikana mbivu na mbichi

Aziz Ki atua Dar kimafia kumalizana na Yanga, leo kujulikana mbivu na mbichi

Aziz Ki, amewasili nchini alfajiri ya leo Julai 10, 2024 akitokea mapumzikoni kwao Burkina Faso kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia lakini akatoka kimkakati uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere terminal 3.
Mkuuu m n Yanga damu azizi ki kaja kupokea thnkyuuu dogoo anaelekea kusikojulikana na club inatasema ukweli mda ukifika nikokwamassawe
 
Uto muda wote wanamuwaza Aziz Ki mna Chama wasiwasi wa nn,mwacheni aende akatafute changamoto nyingine
Azizi Alisha fika ukomo wa mkataba wake pale Yanga Sasa Yanga wanamlazimishaje?
Ukiona amerudi na kucheza Yanga basi ameridhika na yaliyomo katika mkataba wake mpya, Timu zinazo muhitaji ni Nyingi na zinaushawishi mkubwa ila ameichagua Yanga.
 
Aziz k atasalia yanga kwa msimu mwingine ujao, hana kiwango cha kucheza soccer la S.Africa au Morocco au kwa Mafarao ....

Huu ndiyo ukweli...

Akiondoka Yanga labla akasajiliwa Super Eangle ya kenya
 
Mo kampa mshahara wa dollar elfu 20 na signing fee ya dollar laki 5, Kesho atakuwa kambini na Kikosi cha Simba
 
Azizi ki mchezaji mkubwa.
laZima abaki team kubwa hawezi kucheza shirikisho huko umb
Aziz k atasalia yanga kwa msimu mwingine ujao, hana kiwango cha kucheza soccer la S.Africa au Morocco au kwa Mafarao ....

Huu ndiyo ukweli...

Akiondoka Yanga labla akasajiliwa Super Eangle ya kenya
Aziz hawezi kucheza shirikisho
Mbumbumbu mnajisumbua laZima acheze Club bingwa
 
Azizi ki mchezaji mkubwa.
laZima abaki team kubwa hawezi kucheza shirikisho huko umb

Aziz hawezi kucheza shirikisho
Mbumbumbu mnajisumbua laZima acheze Club bingwa
Thlxu
 
Azizi Alisha fika ukomo wa mkataba wake pale Yanga Sasa Yanga wanamlazimishaje?
Ukiona amerudi na kucheza Yanga basi ameridhika na yaliyomo katika mkataba wake mpya, Timu zinazo muhitaji ni Nyingi na zinaushawishi mkubwa ila ameichagua Yanga.
Project yake hajamaliza ambayo ni kutwaa ubingwa wa Africa 🌍
 
Back
Top Bottom