AZIZ KI kaongeza Mkataba yanga hadi 2025

AZIZ KI kaongeza Mkataba yanga hadi 2025

Alafu next season anaflop....!!! By the hivi hawa wachezagi wa kigeni hasa hasa wa yanga wanalipa kodi kweli hawa???😒
 
position loss, he lose all the balls
Kama ni hivyo, hizo goli alizofunga alikuwa anafungaje ikiwa anapoteza mipira yote??

Alafu nakushauri,achana na lugha ya Kiingereza. Komaa na Kiswahili tu.
 
Kama ni hivyo, hizo goli alizofunga alikuwa anafungaje ikiwa anapoteza mipira yote??

Alafu nakushauri,achana na lugha ya Kiingereza. Komaa na Kiswahili tu.
wastefulness ni tatizo kwa kila timu, gardiola anawatimua players kama yeye modern football awawaitaji
 
Back
Top Bottom