Smart AJ JF-Expert Member Joined Mar 21, 2022 Posts 5,564 Reaction score 5,884 Nov 17, 2022 #21 Sa mtu kufungiwa kucheza ni faida kivipi??jamani
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Nov 20, 2022 Thread starter #22 ninosi said: Leo ndo mnajua kua kwa Aziz mlipigwa?! Mda si mrefu mtaanza kumzomea. Click to expand... Nani anaweza kumzomea Aziz hapa Africa, sembuse Tanzania? Acha kujitekenya.
ninosi said: Leo ndo mnajua kua kwa Aziz mlipigwa?! Mda si mrefu mtaanza kumzomea. Click to expand... Nani anaweza kumzomea Aziz hapa Africa, sembuse Tanzania? Acha kujitekenya.
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Nov 20, 2022 Thread starter #23 kavulata said: Ona, hapo Aziz ametokea bench tu, hebu fikiria atakuwaje kama atatokea kukosa mechi 3. Kumbuka kuwa Aziz hajawahi kutokea benchi wala kupunzishwa tangu ajiunge Yanga, Click to expand... Huyu anacheza hata arsenal na kupata namba,
kavulata said: Ona, hapo Aziz ametokea bench tu, hebu fikiria atakuwaje kama atatokea kukosa mechi 3. Kumbuka kuwa Aziz hajawahi kutokea benchi wala kupunzishwa tangu ajiunge Yanga, Click to expand... Huyu anacheza hata arsenal na kupata namba,