balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Uwone ndiyo nini?Wakwetu vp mboni wanguwangu kiasi hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwone ndiyo nini?Wakwetu vp mboni wanguwangu kiasi hicho?
Leo nimefanikiwa kutembelea duka la Vunja Bei Iringa kwa kweli JEZI za Utopoloni zimedoda,JEZI za Simba ni adimu kifupi zinagombania ni JEZI nzuri sana Kuliko Yale mabatiki ya UtopoloniKesho kuzika wap mkuu???
Kikosi Bora cha msimu....lete hapa.Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC Aziz Ki amechukua tuzo ya mchezaji bora wa msimu wa 2023/2024.
Tuzo hii kwa Aziz Ki inakuwa tuzo ya tatu usiku wa leo, akiwa amechukua tuzo ya Kiungo bora wa msimu, Mfungaji bora wa msimu na pia ameingia kwenye kikosi bora cha msimu.
Aziz Ki alikuwa anawania tuzo ma wachezaji kama vile, Feisal wa Azam, Kipre Jr wa Azam, Yao wa Yanga, Ibrahimu Bacca wa Yanga, Matampi wa Coastal Union, Diarra wa Yanga na Muhamed Hussen wa Simba.Soma zaidi: Thread 'Stephane Aziz Ki Kiungo bora wa msimu 2023/2024' https://www.jamiiforums.com/threads/stephane-aziz-ki-kiungo-bora-wa-msimu-2023-2024.2241134
View attachment 3059030
Aaaahh unanipangia mwandikoUwone ndiyo nini?