Aziz ki mdogo mdogo ataanza kuwaziba watu midomo, Gari lake likiwaka itakuwa balaa

Aziz ki mdogo mdogo ataanza kuwaziba watu midomo, Gari lake likiwaka itakuwa balaa

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Naona stephane Aziz ki taratibu anaanza kuirudisha confidence yake na anaanza kuelewana na wenzake, anapofunga goli inazidi kumjengea hali ya kujiamini na utulivu.

Kitu kinachomsumbua kwa sasa ni presha kutoka nje ya uwanja ukizingatia usajili wake ulikuwa mkubwa hivyo anajaribu kuonyesha ubora wake kwa kufanya mambo mengi uwanjani kitu kinachofanya apoteze utulivu na umakini wa maamuzi yake ya mwisho, lakini namtabilia mambo makubwa mbeleni kwani namuona kabisa atakuja kuwa mchezaji hatari sana pindi akiingia vizuri kwenye mfumo ni suala la muda tu atawajibu kwa vitendo wanaombeza sasa hivi
 
Naona stephane Aziz ki taratibu anaanza kuirudisha confidence yake na anaanza kuelewana na wenzake, anapofunga goli inazidi kumjengea hali ya kujiamini na utulivu, kitu kinachomsumbua kwa sasa ni presha kutoka nje ya uwanja ukizingatia usajili wake ulikuwa mkubwa hivyo anajaribu kuonyesha ubora wake kwa kufanya mambo mengi uwanjani kitu kinachofanya apoteze utulivu na umakini wa maamuzi yake ya mwisho, lakini namtabilia mambo makubwa mbeleni kwani namuona kabisa atakuja kuwa mchezaji hatari sana pindi akiingia vizuri kwenye mfumo ni suala la muda tu atawajibu kwa vitendo wanaombeza sasa hivi
Mchezaji mzuri sana, Hana bahati na magoli lakini anapiga pasi kama Luka Modric
 
Kweli jamani mechi kama hizi za Zalan ndio kipimo cha kuwathibitishia watu waliokuwa wana wasiwasi na uwezo wa mchezaji mwenye thamani ya milion 400?
 
Kweli jamani mechi kama hizi za Zalan ndio kipimo cha kuwathibitishia watu waliokuwa wana wasiwasi na uwezo wa mchezaji mwenye thamani ya milion 400?
Binadamu ameumbwa kusahau
1661865539289.jpg
1661726007969.jpg
 
Walianza na mayele sasa hivi wapo na aziz ki,kesho kwa farid musa,ila fei toto hawamtaji,
Leo alivyopiga shuti la mbali nimewaona wana Yanga wakipiga mayowe

Magoli ya zali na abracadabra ndio kitu Feisal kazoea
 
Hata kambole watu walikesha kumsubiria na mkasema ni kiboko wa mayele ila mwisho wa siku hajacheza hata mechi moja.
 
Back
Top Bottom