Aziz ki mdogo mdogo ataanza kuwaziba watu midomo, Gari lake likiwaka itakuwa balaa

Aziz ki mdogo mdogo ataanza kuwaziba watu midomo, Gari lake likiwaka itakuwa balaa

Kweli jamani mechi kama hizi za Zalan ndio kipimo cha kuwathibitishia watu waliokuwa wana wasiwasi na uwezo wa mchezaji mwenye thamani ya milion 400?
Ukoo sahihi,
Ila siyo mbaya acha aendelee kupata confidence

Kipimo tosha ni aidha ni St George au Al Hilal

Acha tusubiri maana hizo mechi ni ngumu ningetamani sana kuzichike live leo hii hasa ya St George ili nione ubora wao
 
Naona stephane Aziz ki taratibu anaanza kuirudisha confidence yake na anaanza kuelewana na wenzake, anapofunga goli inazidi kumjengea hali ya kujiamini na utulivu.

Kitu kinachomsumbua kwa sasa ni presha kutoka nje ya uwanja ukizingatia usajili wake ulikuwa mkubwa hivyo anajaribu kuonyesha ubora wake kwa kufanya mambo mengi uwanjani kitu kinachofanya apoteze utulivu na umakini wa maamuzi yake ya mwisho, lakini namtabilia mambo makubwa mbeleni kwani namuona kabisa atakuja kuwa mchezaji hatari sana pindi akiingia vizuri kwenye mfumo ni suala la muda tu atawajibu kwa vitendo wanaombeza sasa hivi
Huyo K hana utofauti na Ambundo!
 
Acha kupotosha na picha za ku edit hilo tobo la tshabalala sawa ila hyo ya kanoute kwa aziz ki huo ni uongo aziz ki mpaka alimkimbia kanoute akaenda pembeni hakufua dafu mbele ya Putin mpaka alipotolewa kanoute ndo mkafunga magoli yenu ya michongo.

Wewe nawe muongo, goli la kwanza linaingia hakuna hata mchezaji wa Simba aliyetolewa. Ni yanga pekee ndio waliofanya Sub ila Simba hawakufanga sub mpaka linaingia goli ndio wamefanya sub.

Halafu jambo la pili nenda kaangalie replay tena goli la kwanza la kusawazisha Yanga, je goli alilofunga Mayele pasi imetoka kwa nani kama sio huyo huyo Aziz Ki
 
Screenshot_20220918-144328_Instagram.jpg
 
Acha kupotosha na picha za ku edit hilo tobo la tshabalala sawa ila hyo ya kanoute kwa aziz ki huo ni uongo aziz ki mpaka alimkimbia kanoute akaenda pembeni hakufua dafu mbele ya Putin mpaka alipotolewa kanoute ndo mkafunga magoli yenu ya michongo.
Jitahidi uwe una angalia mpira ukiwa sober
 
Back
Top Bottom