Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Mchezaji mzuri sana, Hana bahati na magoli lakini anapiga pasi kama Luka ModricNaona stephane Aziz ki taratibu anaanza kuirudisha confidence yake na anaanza kuelewana na wenzake, anapofunga goli inazidi kumjengea hali ya kujiamini na utulivu, kitu kinachomsumbua kwa sasa ni presha kutoka nje ya uwanja ukizingatia usajili wake ulikuwa mkubwa hivyo anajaribu kuonyesha ubora wake kwa kufanya mambo mengi uwanjani kitu kinachofanya apoteze utulivu na umakini wa maamuzi yake ya mwisho, lakini namtabilia mambo makubwa mbeleni kwani namuona kabisa atakuja kuwa mchezaji hatari sana pindi akiingia vizuri kwenye mfumo ni suala la muda tu atawajibu kwa vitendo wanaombeza sasa hivi
Umejikaza kabisa kuandika hivyo chama na khabar nyingne na nyie mnamtambuaAzizz K hafanani kabisa na kiungo mwenye spidi ya konokono. AZZ daraja lake lajuu sana.
Binadamu ameumbwa kusahauKweli jamani mechi kama hizi za Zalan ndio kipimo cha kuwathibitishia watu waliokuwa wana wasiwasi na uwezo wa mchezaji mwenye thamani ya milion 400?
Na binadamu ameumbwa na ujingaBinadamu ameumbwa kusahauView attachment 2360147View attachment 2360148
Leo alivyopiga shuti la mbali nimewaona wana Yanga wakipiga mayoweWalianza na mayele sasa hivi wapo na aziz ki,kesho kwa farid musa,ila fei toto hawamtaji,
Umesahau mlihenyaNa binadamu ameumbwa na ujinga
Sasa hiyo ndio nini?
Tobo ndio kitu ambacho kiliwafanya mtoe milion 400 mumsajili?
hii.picha ya pili umemalizqBinadamu ameumbwa kusahauView attachment 2360147View attachment 2360148
Acha kupotosha na picha za ku edit hilo tobo la tshabalala sawa ila hyo ya kanoute kwa aziz ki huo ni uongo aziz ki mpaka alimkimbia kanoute akaenda pembeni hakufua dafu mbele ya Putin mpaka alipotolewa kanoute ndo mkafunga magoli yenu ya michongo.Binadamu ameumbwa kusahauView attachment 2360147View attachment 2360148
Wahadzabe wa Sudan wanawapa watu jeuriGari kuwaka kisa kagonga marehemu