Aziz ki mdogo mdogo ataanza kuwaziba watu midomo, Gari lake likiwaka itakuwa balaa

Kweli jamani mechi kama hizi za Zalan ndio kipimo cha kuwathibitishia watu waliokuwa wana wasiwasi na uwezo wa mchezaji mwenye thamani ya milion 400?
Ukoo sahihi,
Ila siyo mbaya acha aendelee kupata confidence

Kipimo tosha ni aidha ni St George au Al Hilal

Acha tusubiri maana hizo mechi ni ngumu ningetamani sana kuzichike live leo hii hasa ya St George ili nione ubora wao
 
Huyo K hana utofauti na Ambundo!
 
Acha kupotosha na picha za ku edit hilo tobo la tshabalala sawa ila hyo ya kanoute kwa aziz ki huo ni uongo aziz ki mpaka alimkimbia kanoute akaenda pembeni hakufua dafu mbele ya Putin mpaka alipotolewa kanoute ndo mkafunga magoli yenu ya michongo.

Wewe nawe muongo, goli la kwanza linaingia hakuna hata mchezaji wa Simba aliyetolewa. Ni yanga pekee ndio waliofanya Sub ila Simba hawakufanga sub mpaka linaingia goli ndio wamefanya sub.

Halafu jambo la pili nenda kaangalie replay tena goli la kwanza la kusawazisha Yanga, je goli alilofunga Mayele pasi imetoka kwa nani kama sio huyo huyo Aziz Ki
 
Acha kupotosha na picha za ku edit hilo tobo la tshabalala sawa ila hyo ya kanoute kwa aziz ki huo ni uongo aziz ki mpaka alimkimbia kanoute akaenda pembeni hakufua dafu mbele ya Putin mpaka alipotolewa kanoute ndo mkafunga magoli yenu ya michongo.
Jitahidi uwe una angalia mpira ukiwa sober
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…