Aziz Ki ni mzigo, anavumiliwa kwasababu ni mgeni

Mtaongea Sana lakini medali tunavalishwa tangu muchuano hii ianza Makolo wengi walikuwa wanaumwa vidonda vya tumbo Ila Jana wengi wamepata auheni poleni Sana.
 
Ukiangalia pesa waliyomnunulia lazima hata wewe utaona aibu kumuweka benchi. Inabidi wawaaminishe mashabiki kuwa ni mchezaji mzuri
 
Boss wake mama Ake alimwacha kweli

usikute hua anakuja na mwanae hajui
 
Hapo mwisho naungana na wewe, huwezi kujisifia kwakuifunga timu iliyoshuka jaraja.
 
Nabi sometimes huwa anachelewa sana kufanya sub na labda jana atakuwa amejifunza kitu.
Hata Simba yetu...yule Sambaloketo huwa natamani nimmeze..mtu anaona mchezaji amechoka mpk anatoa mate ila hafany sub...labda wanakua wana imajini wamefunga tayari 😆 😆 😆
 
Kuna muda mashabiki mnapaswa kuwa na shukrani, mpira ni kama kitu kingine chochote kile kuna siku utaamka vizuri na kuna siku mambo yanaweza kuwa sio hivyo lolote laweza kutokea, sidhani kama kuyumba kwa siku moja kunaweza fanya mtu umtoe thamani kana kwamba hafai, mimi nina hakika kuna mengi ya kujirekebisha ambayo yamefanywa na wachezaji wote ikiwemo kwa baadhi ya wachezaji kukosa magoli ya wazi kitu ambacho nafasi ingetumiwa ingekua ni jambo la manufaa kwa timu

Cha msingi ni kuwa wameteleza, wajipange upya, wakafanye maajabu ugenini na warejee na kombe
 
Wewe Ni mshamba na mpuuzi

Kuwaita wachezaji majina ya ajabu hivyo inaonyesha wewe Ni mtu wa aina gani Acha dharau mkuu
 
Ila hapa wadau mnavyoiongelea utadhani yanga imepigwa goli nyingi sana. mkumbuke tofauti ni goli moja tu kwa hiyo msiishushe yanga kihivyo. msije mkaja aibika hiyo jumamosi.
 
Wameshamsahau onyango wao yeye alikua anatoa boko na kulisha hadi goli, na si ya mechi moja lakini kocha alikua hamuachi kwenye fest ileven.
 
Magoli gani yaliyokoswa zaidi ya lile LA mayele lililopita kwenye chaki had nje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wale jamaa wanakera sana. Ukiwafunga Moja wao wanapiga matatu ya chap chap
 
Wewe Ni mshamba na mpuuzi

Kuwaita wachezaji majina ya ajabu hivyo inaonyesha wewe Ni mtu wa aina gani Acha dharau mkuu

Wewe Ni mshamba na mpuuzi

Kuwaita wachezaji majina ya ajabu hivyo inaonyesha wewe Ni mtu wa aina gani Acha dharau mkuu
acha uduwanzi basi we kilaza.... Wewe umeniandika kwa heshima hapo? Nyang'au mmoja wee..!
 
Sema tenaaaaaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…