Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
bingwa kwa 50%? Hahaha. Kwamba jana walitoka sare 0-0? Hivi una akili timamu au unakurupuka? Kwa mpira waliocheza waarabu hapa na kiwango duni cha utopolo kule ni 3-0!Ball burudani litatandazwa Algeria mpaka mshangae mpaka sasa Yanga bingwa kwa 50%