Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kwani ukioa mkeo anatembea na mashine yako? yaani mke yupo ivory coast uko mwamba yupo tz hawaonani miezi kibao halafu unasema nini wewe. Calinyos kaja Tanzania kucheza yanga akiwa ameoa na kachukua sana mademu kidimbwi pale.Huyo mtu kaoa anawatoto na hawa watu sio vichwa laza kama watz ni wanaakilizoa
Lakini hajaoa mtuKwani ukioa mkeo anatembea na mashine yako? yaani mke yupo ivory coast uko mwamba yupo tz hawaonani miezi kibao halafu unasema nini wewe. Calinyos kaja Tanzania kucheza yanga akiwa ameoa na kachukua sana mademu kidimbwi pale.
Hayo ni masuala binafsi.Yanga wamemtafutia lishangazi moja . To stimulate Aziz Ki to stay . what a great move .
Pisi ina mimba ya aziz kii , soon anakuwa na mcheza mpira wa next generation .
We wait . Will he stay ?!? We donβt know ?
Ni mwendo ya plan b π .
Unawaza ushoga tu, dummyUnatamani ingekuwa wewe ndio umepigwa mimba eti Dada. Pole
Akili yako inawaza ushoga tu . Dumb foolHayo ni masuala binafsi.
Tulisema wewe unali.wa kiboga utakataa?
Momo said it in wasafi fm . Dont be stupidDaah watu kiboko mnafatilia hadi mimba za mtaani na kuwapa Wachezaji..
Ungeandika tu kiswahili hakuna maana yeyote hapo mnaharibu lugha za watu msizozijua si bora uandike kindengereko chako tu...hapo Ras Simba kakwambia andika andika tu utajua..Momo said it in wasafi fm . Dont be stupid