Kweli Tanzania ni kitendawili. Hivi kabla hajatakiwa kurudi kuja kumsaidia mkapa long time ago hawakuchunguza kufahamu kama tayari alishakuwa raia wa Sweeden? Hii inatoa dosari kubwa sana kwa wanausalama wa Tz ndani na nje ya nchi, they are too relaxed au ni ugonjwa gani wanao??
Kwa upade wa Dual citizenship, kwa Tz kwa sasa naona bado tunahitaji muda wa kujiandaa kuweka taratibu sawa na sheria ipitishwe kwa makini. Nina wasi wasi kwa sasa kuwa kwa ninavyomfahamu mwanausalama Membe ni lazima kuna a move fulani ambayo anaikingia kifua!!!!!! Kwa taarifa kuna maandalizi kuwa watanzania wa jamii ya Kiasia wanapanga mikakati ya kuchukua nchi hii?? Ni mipango ambayo wamejiandaa nayo since 2006!!! Believe it or not!! Na ni kupitia SSM!!!! Na ninakuambia kuwa kama hawa waasia watakuwa bado wamo ndani ya Tz hakuna namna ambavyo SSM haitaendelea kuchukua madaraka maana huwa wanachangia mno katika maandalizi ya uchaguzi na wakati wa uchaguzi. They are dangeraous!!!! Wafanyabiashara wote hadi nyumba hadi nyumba wanachanga, achilia mbali wale tycoons.
Labda tuweke kuwa Watanzania by indegenous-wazawa ambao kizazi chao cha kwanza hadi cha nane kinaweza kuwa traced in Tanzania, vinginevyo tunataka kukaribisha matatizo zaidi ya tuliyo nayo.
Pole Dr. Azizi P. Milima!!