Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kwanini tusifuate mtindo wa India ambao Katiba yao inakataza kabisa dual citizenship lakini wakati huo huo wanawatambua wananchi wao walio nje ya nchi?
FM,
To refresh your memory,rekodi zaonyesha huyu jamaa alipata uraia wa Japan baada ya wazazi wake kumwombea kwenye consulate ya Japan hapo Lima. Yaonyesha nchi hizo mbili zinautambua uraia wa nchi zaidi ya moja(dual nationality).
Birthplace
According to government records, Fujimori was born on July 28, 1938, in Miraflores, a district of Lima.[22] His parents, Naoichi Fujimori (18971971) and Mutsue Inomoto de Fujimori (19132009), were natives of Kumamoto, Japan who emigrated to Peru in 1934.[23][24] He holds dual Peruvian and Japanese citizenship, his parents having secured the latter through the Japanese Consulate. Source:http://en.wikipedia.org/wiki/Alberto_Fujimori
Dr. Mlima kuwa raia wa Sweden sidhani kama ni kikwazo.inadaiwa yeye ni raia wa huko huko tayari.. sasa nchi inampendekezaje raia wa nchi nyingine kuwa balozi wake?
Maane,Kweli Tanzania ni kitendawili. Hivi kabla hajatakiwa kurudi kuja kumsaidia mkapa long time ago hawakuchunguza kufahamu kama tayari alishakuwa raia wa Sweeden? Hii inatoa dosari kubwa sana kwa wanausalama wa Tz ndani na nje ya nchi, they are too relaxed au ni ugonjwa gani wanao??
Kwa upade wa Dual citizenship, kwa Tz kwa sasa naona bado tunahitaji muda wa kujiandaa kuweka taratibu sawa na sheria ipitishwe kwa makini. Nina wasi wasi kwa sasa kuwa kwa ninavyomfahamu mwanausalama Membe ni lazima kuna a move fulani ambayo anaikingia kifua!!!!!! Kwa taarifa kuna maandalizi kuwa watanzania wa jamii ya Kiasia wanapanga mikakati ya kuchukua nchi hii?? Ni mipango ambayo wamejiandaa nayo since 2006!!! Believe it or not!! Na ni kupitia SSM!!!! Na ninakuambia kuwa kama hawa waasia watakuwa bado wamo ndani ya Tz hakuna namna ambavyo SSM haitaendelea kuchukua madaraka maana huwa wanachangia mno katika maandalizi ya uchaguzi na wakati wa uchaguzi. They are dangeraous!!!! Wafanyabiashara wote hadi nyumba hadi nyumba wanachanga, achilia mbali wale tycoons.
Labda tuweke kuwa Watanzania by indegenous-wazawa ambao kizazi chao cha kwanza hadi cha nane kinaweza kuwa traced in Tanzania, vinginevyo tunataka kukaribisha matatizo zaidi ya tuliyo nayo.
Pole Dr. Azizi P. Milima!!
Dr. Mlima kuwa raia wa Sweden sidhani kama ni kikwazo.
Balozi ni mwakilishi tu wa nchi husika na sio lazima awe raia wa hiyo nchi anayowakilisha ndio maana nchi nyingine huwakilishwa na balozi za nchi tofauti. Nakumbuka kama sijakosea, Seycheles inawakilishwa Tanzania na raia wa kiTanzania.
Aziz atakuwa na matatizo yake. Lakini pia nafikiri yeye sio uteuzi mzuri kwani atakuwa kapewa ajira ambayo hajaisomea wala kuwahi kuifanya bali kwa mazingira ya kiushikaji tu na kuwaacha mabalozi wataalam wakilamba vumbi MOFA Dar.
Aliyekuwa Golikipa wa Yanga Marehemu Sahau Kambi alikuwa balozi wa Commoro Nchini Tanzania.
Marehemu Khalid Alex makondeko naye alikuwa na hadhi ya kibalozi wakati akiwa Mtanzania.
narudi kusema kuwa uraia sio issue kabisa. kuna mengine.
Waruhusu tu dual citizenship ili kuwaondolea Watanzania tatizo la kuficha na kudanganya.
Omarilyas,What a cheap solution......have nothing personal na wewe kaka lakini kama ndio mitizamo hii then wacha tuendelee na POLITICAL MERCINARY wetu kule KYELA.
omarilyas
Aliyekuwa Golikipa wa Yanga Marehemu Sahau Kambi alikuwa balozi wa Commoro Nchini Tanzania.
Marehemu Khalid Alex makondeko naye alikuwa na hadhi ya kibalozi wakati akiwa Mtanzania.
narudi kusema kuwa uraia sio issue kabisa. kuna mengine.
kanda2 said:Aliyekuwa Golikipa wa Yanga Marehemu Sahau Kambi alikuwa balozi wa Commoro Nchini Tanzania.
kanda2 said:Marehemu Khalid Alex makondeko naye alikuwa na hadhi ya kibalozi wakati akiwa Mtanzania.
narudi kusema kuwa uraia sio issue kabisa. kuna mengine.
What a cheap solution......have nothing personal na wewe kaka lakini kama ndio mitizamo hii then wacha tuendelee na POLITICAL MERCINARY wetu kule KYELA.
omarilyas
hapa ndiyo tatizo la uraia wa nchi mbili labda pia litaonekana. Je, tuko tayari rais wetu awe ni raia wa Tanzania na Kenya at the same time? au wa Rwanda na TZ at the same time au nchi nyingine yoyote? Vipi kuhusu Ubunge, Uwaziri, Ukuu wa Jeshi, vyombo vya usalama n.k?
kwani raia wa nchi nyingine hawezi kuwa balozi kwa nchi nyingine? Nina mifano hapa, enzi za nyuma kidogo Dk Alex Khalid(the late) aliwahi kuwa balozi wa(nafikiri Comoro) nchini Tanzania, vile vile kuna huyu Shamo(Shamo industries) ni mfanyabiashara wa tanzania mwenye asili ya Comoro na ni balozi wa Comoro hapa bongo, Am I right....inadaiwa yeye ni raia wa huko huko tayari.. sasa nchi inampendekezaje raia wa nchi nyingine kuwa balozi wake?
Hao uliowataja hawakuwa mabalozi kamili. Walikuwa ni honorary.kwani raia wa nchi nyingine hawezi kuwa balozi kwa nchi nyingine? Nina mifano hapa, enzi za nyuma kidogo Dk Alex Khalid(the late) aliwahi kuwa balozi wa(nafikiri Comoro) nchini Tanzania, vile vile kuna huyu Shamo(Shamo industries) ni mfanyabiashara wa tanzania mwenye asili ya Comoro na ni balozi wa Comoro hapa bongo, Am I right....
kwani raia wa nchi nyingine hawezi kuwa balozi kwa nchi nyingine? Nina mifano hapa, enzi za nyuma kidogo Dk Alex Khalid(the late) aliwahi kuwa balozi wa(nafikiri Comoro) nchini Tanzania, vile vile kuna huyu Shamo(Shamo industries) ni mfanyabiashara wa tanzania mwenye asili ya Comoro na ni balozi wa Comoro hapa bongo, Am I right....