Azizi Kii hataifunga Simba ili kumfurahisha Mpenzi wake

Azizi Kii hataifunga Simba ili kumfurahisha Mpenzi wake

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Hamisa Mobeto ni Simba kindakindaki. Simba inapofungwa anakosa amani hadi kuugua na furaha yake ni pale Simba inaposhinda. Tofauti na ilivyo kwa Aziz Kii ambaye hana ushabiki kwa Yanga wala Simba, yeye yupo nchini kwa maslahi (ajira). Hivyo hata ifungwe Yanga yeye haitamuumiza, ataonyesha masikitiko kwa kuzuga tu.

FURAHA NA AMANI YA FAMILIA NI MUHIMU SANA KATIKA MAISHA.
Tunasema family first
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania.

Ulipambania uhuru lakini vijana Tuliopo leo Tunasikitisha sana.
IRP. mwalimu.
 
Babu unazeeka na uhandsome wako☺️
Huyo kaweka tu picha ila sio yeye. Mzee gani macho yapo imara kiasi hicho. Fuatilia maandiko yake yote hakosei herufi hata moja
 
Back
Top Bottom