Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Mkuu tatizo lako nafikiri ni lugha, Azuma ni azithromycin ambayo ni antibiotics kazi yake sio kutibu hiv bali inatibu magonjwa yaani infections zinazowasumbua watu wenye upungufu wa kinga mwiliniLeo nimeambatanisha Karatasi inayothibitisha kuwa AZUMA ni dawa ya VVU/UKIMWI, karatasi hii nimeitoa moja kwa moja ndani ya dawa ya AZUMA(Azithromycin) na mahali nilipopigia mistari ndio kuna maelezo jinsi AZUMA inavyotibu VVU/UKIMWI. Naomba JF msifute hii post wala kuihamisha maana Post zingine mmezifuta za AZUMA na ili hali jambo hili ni la kweli na linauthibitisho. Ndimi DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
CC....MSD, Wizara ya Afya, IKULU Tanzania.
View attachment 637528
lafu huyu ni mwalimu sasaShule nayo inaumuhimu jamani,kiingereza kimekuwa janga kwa kila rika,
Tusomeshe watoto kwakweli
Kisandu acha ujinga.. Hiyo AZUMA inatibu hao bacteria waliko ktk wagonjwa wa HIV.. Meaning wagonjwa wa HIV wana infections nyingi kutokana na bacteria & virus.. So hiyo AZUMA inatibu Mycobacterium Avium ktk HIV patients... Ila sio INATIBU UKIMWI...!!
UJINGA ni mzigo mkubwa