kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Wewe ndo ulipeleka bungeni kwa mara ya kwanza pendekezo hili la tozo. Umesababisha watanzania tuwe tunalipa kodi mara mbili mbili. Umefungua mlango ambao kila mtu mwenye roho mbaya na roho ya wizi waanze kupita kwenye mlango huo.
Nisiongee Sana niende tu moja kwa moja kwenye lengo. Binafsi ninakerwa sana na hizi tozo.
Natamani yakufike mabaya sana katika kipindi cha uhai wako kilichobaki kutokana dhamira yako hii mbaya uliyoileta nchini.
Najua una miaka 70 sasa, natamani Uzi huu ukufikie huko uliko na uusome. Natamani mwaka huu uwe mgumu Sana kwako na wapiga hela wenzako. Natamani udhalilike bungeni,ujinyee na wapigaji wengine wajiharishie kwenye suti zao.
Natamani ujidhalilishe bungeni uvue nguo. Viongozi wakubwa mnakera Sana.
Nisiongee Sana niende tu moja kwa moja kwenye lengo. Binafsi ninakerwa sana na hizi tozo.
Natamani yakufike mabaya sana katika kipindi cha uhai wako kilichobaki kutokana dhamira yako hii mbaya uliyoileta nchini.
Najua una miaka 70 sasa, natamani Uzi huu ukufikie huko uliko na uusome. Natamani mwaka huu uwe mgumu Sana kwako na wapiga hela wenzako. Natamani udhalilike bungeni,ujinyee na wapigaji wengine wajiharishie kwenye suti zao.
Natamani ujidhalilishe bungeni uvue nguo. Viongozi wakubwa mnakera Sana.