Azzan Zungu, umetubebesha mzigo wa tozo watanzania

Azzan Zungu, umetubebesha mzigo wa tozo watanzania

hivi umeelewa lakini nilichomjibu au umeona tu na wewe unijibu,Ok ipo hivi sikusema umaskini ila ni roho ya kimaskini kumuombea mtu mabaya na kumuonea wivu na kumchukia,kama ungeweza kutofautisha umaskini na roho ya kimaskini ungenielewa nilichokimaanisha kwa mujibu wa nukuu ya babu yangu,ni kweli tozo zinaweza zikawa zinaumiza lakini unafikiri mbadala wake ni nini,nchi zilizoendelea ndizo zinaongoza kwa kutoza kodi...hayo maendeleo unayoyatamani utayapata vipi bila kutozwa kodi
Kwani hatulipi Kodi?.Kila kitu tunachonunua kinakodi.ndio waongeze na tozo tena Kila sehem[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Mzee Zungu popote ulipo ulaaniwe wewe na kizazi chako. CCM sijui kwanini hawapendi kujifunza kwa yaliyowapata kuanzia mwaka jana.... Msicheze na Mungu kabisa. Rais SAMIA acha mzaha na MUNGU kabla hajaamua kudeal na wewe.
 
Ilala wanatuangusha sana achaneni nae huyu !.
Mamwinyi wamelala pale kipindi cha uchaguzi wakipewa 10,000/= za chai maandazi wanaridhika kama siyo mchanganyiko wa makabila Ilala ya leo ingekuwa kama Kongwa.
 
Hizi Tozo zinaumiza hasa hii ya bank na ile ukinunua Umeme pana VAT waswahili wameharibu sana hawa na Mama hata hasikii kitu wamevuruga ishu ya mafuta wamekuja bank sijui wanachoweza ni nini..
 
Sawa tajiri mla Tozo,kombamwiko wee
hapana mkuu tusifanye makasiriko,maisha hayajawahi kuwa mepesi tangu kuumbwa kwa dunia,zinaweza zikaja zama ukazikumbuka hizi zama na hutozipata tena kamwe,kikubwa cha muhimu panua akili na nguvu zako zote kupambania maisha yako na Mungu hamtupi mja wake ila malalamiko yatakukisesha furaha na amani siku zote
 
Duh huyu mzee anavyolaaniwa mwaka huu ukiisha bila mnyaazimgu kumpenda zaidi nitashangaa sana , kumbe watu mna hasira namna hii sasa simuingie barabarani ijulikane kwamba mambo yemekua tait
 
Wewe ndo ulipeleka bungeni kwa mara ya kwanza pendekezo hili la tozo. Umesababisha watanzania tuwe tunalipa kodi mara mbili mbili. Umefungua mlango ambao kila mtu mwenye roho mbaya na roho ya wizi waanze kupita kwenye mlango huo.

Nisiongee Sana niende tu moja kwa moja kwenye lengo. Binafsi ninakerwa sana na hizi tozo.

Natamani yakufike mabaya sana katika kipindi cha uhai wako kilichobaki kutokana dhamira yako hii mbaya uliyoileta nchini.

Najua una miaka 70 sasa, natamani Uzi huu ukufikie huko uliko na uusome. Natamani mwaka huu uwe mgumu Sana kwako na wapiga hela wenzako. Natamani udhalilike bungeni,ujinyee na wapigaji wengine wajiharishie kwenye suti zao.

Natamani ujidhalilishe bungeni uvue nguo. Viongozi wakubwa mnakera Sana.
Hakuna mweupe mwenye nia njema na mweusi
 
Ameanza tena huyu jamaa
Screenshot_20220921-152918.png
 
hivi umeelewa lakini nilichomjibu au umeona tu na wewe unijibu,Ok ipo hivi sikusema umaskini ila ni roho ya kimaskini kumuombea mtu mabaya na kumuonea wivu na kumchukia,kama ungeweza kutofautisha umaskini na roho ya kimaskini ungenielewa nilichokimaanisha kwa mujibu wa nukuu ya babu yangu,ni kweli tozo zinaweza zikawa zinaumiza lakini unafikiri mbadala wake ni nini,nchi zilizoendelea ndizo zinaongoza kwa kutoza kodi...hayo maendeleo unayoyatamani utayapata vipi bila kutozwa kodi
  • Next time uishirikishe na akili yako kidogo!
  • Hizo nchi unazozisema hazina rasilimali za kueleweka. Zilianza kuiba rasilimali kwenye mabara mengine kuanzia 1400 huko, je Tanzania nayo haina rasilimali?
  • Je hizo unazozitaja kuna ufisadi na ufujaji wa mali kama huku?
  • Je hizo nchi unazozitaja viongozi wake wanaishi maisha ya kifahari kama huku?
  • Next time uishirikishe akili kidogo kabla ya kujibu.
N.B. Watanzania wengi wangejua bajeti ya chai kwa viongozi kwa siku au bajeti ya chakula cha msafara wa mwenge kwa siku wangelia mpaka Mungu ashuke kuwatembelea.
Hali tunayoipitia imeelezewa vizuri kwenye kitabu cha THE ANIMAL FARM cha George Orwell
 
  • Next time uishirikishe na akili yako kidogo!
  • Hizo nchi unazozisema hazina rasilimali za kueleweka. Zilianza kuiba rasilimali kwenye mabara mengine kuanzia 1400 huko, je Tanzania nayo haina rasilimali?
  • Je hizo unazozitaja kuna ufisadi na ufujaji wa mali kama huku?
  • Je hizo nchi unazozitaja viongozi wake wanaishi maisha ya kifahari kama huku?
  • Next time uishirikishe akili kidogo kabla ya kujibu.
N.B. Watanzania wengi wangejua bajeti ya chai kwa viongozi kwa siku au bajeti ya chakula cha msafara wa mwenge kwa siku wangelia mpaka Mungu ashuke kuwatembelea.
Hali tunayoipitia imeelezewa vizuri kwenye kitabu cha THE ANIMAL FARM cha George Orwell
Mwenye kuelewa na aelewe
 
  • Next time uishirikishe na akili yako kidogo!
  • Hizo nchi unazozisema hazina rasilimali za kueleweka. Zilianza kuiba rasilimali kwenye mabara mengine kuanzia 1400 huko, je Tanzania nayo haina rasilimali?
  • Je hizo unazozitaja kuna ufisadi na ufujaji wa mali kama huku?
  • Je hizo nchi unazozitaja viongozi wake wanaishi maisha ya kifahari kama huku?
  • Next time uishirikishe akili kidogo kabla ya kujibu.
N.B. Watanzania wengi wangejua bajeti ya chai kwa viongozi kwa siku au bajeti ya chakula cha msafara wa mwenge kwa siku wangelia mpaka Mungu ashuke kuwatembelea.
Hali tunayoipitia imeelezewa vizuri kwenye kitabu cha THE ANIMAL FARM cha George Orwell
hakika wewe ndio yakupasa ushirikishe ubongo wako katka hicho ulichojibu,sasa bajeti ya chai imekujaje hapa kwa mfano,ndio yaleyale narudia ni chuki na roho mbaya,ulitaka wasinywe chai?nakazia hakuna nchi inaendelea bila kodi
 
Back
Top Bottom