Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi zungu akiwa guest huwa anaandika ni kabila gani?
TeteteteJMT haaaaa haaaaa
Kwamba hujaona hoja yoyote? Au attack yake ndo imekufanya usione kama ana hoja?Tatizo umeanza a attack Kwa Yule Mzee
So all your argument imekua biased
Crapp!!mwenye akili ni yule mwenye kunywa gongo na akasingizia kutekwa!
Taga katika ubora wakomwenye akili ni yule mwenye kunywa gongo na akasingizia kutekwa!
Ni wajinga tu wanaouchukia ukweli!!Taga katika ubora wako
Sina uhakika kama ni Hon Zungu aliyeongea hayo maneno maana nilitegemea ajibu hoja ya wabunge kupata hela nyingi sana pamoja na mafao wasiyo yachangia hata senti moja bila kukatwa kodo yoyote ile, hapo hapo anahamasisha serikali kukata wananchi wa kawaida kodi ya uzalendo kwenye simu na LUKU waakti wao hawatoi hata thumni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Mzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja.
Azzan Zungu: Najua hawa wote wanaopanda ponda kwenye mitandao hawakai Ilala, wao wanakaa Kivule, Bombambili, Majimatitu. Sisi watu wa Ilala tunataka maendeleo.
Tunataka lami kwenye majimbo ya Mjini tuweze kuchangia pesa za kutosha tusaidie majimbo ambayo hayana uwezo, leo Ilala tunakusanya bilioni 1.1 kwenye ada ya kupaki magari tu kwa mwezi.
Zungu bange za uzeeni zinampeleka putaMzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja.
Azzan Zungu: Najua hawa wote wanaopanda ponda kwenye mitandao hawakai Ilala, wao wanakaa Kivule, Bombambili, Majimatitu. Sisi watu wa Ilala tunataka maendeleo.
Tunataka lami kwenye majimbo ya Mjini tuweze kuchangia pesa za kutosha tusaidie majimbo ambayo hayana uwezo, leo Ilala tunakusanya bilioni 1.1 kwenye ada ya kupaki magari tu kwa mwezi.
Ametudhalilisha sana wazee wa Mission Quarter.Mzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja.
Azzan Zungu: Najua hawa wote wanaopanda ponda kwenye mitandao hawakai Ilala, wao wanakaa Kivule, Bombambili, Majimatitu. Sisi watu wa Ilala tunataka maendeleo.
Tunataka lami kwenye majimbo ya Mjini tuweze kuchangia pesa za kutosha tusaidie majimbo ambayo hayana uwezo, leo Ilala tunakusanya bilioni 1.1 kwenye ada ya kupaki magari tu kwa mwezi.
mhhhAmetudhalilisha sana wazee wa Mission Quarter.
Kwahiyo Wananchi wa Ilala ndio wamemtuma, na anawadharau Wana Ilala kana kwamba hawajielewi.Ubunge wenyewe kapewa na Mwendazake zake ndio maana anajeur Sana.Subir wajumbe wamkate akajifie na stroke.Mzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja.
Azzan Zungu: Najua hawa wote wanaoponda ponda kwenye mitandao hawakai Ilala, wao wanakaa Kivule, Bombambili, Majimatitu. Sisi watu wa Ilala tunataka maendeleo.
Tunataka lami kwenye majimbo ya Mjini tuweze kuchangia pesa za kutosha tusaidie majimbo ambayo hayana uwezo, leo Ilala tunakusanya bilioni 1.1 kwenye ada ya kupaki magari tu kwa mwezi.
MyunaniHivi zungu akiwa guest huwa anaandika ni kabila gani?