Azzan Zungu: Wanaoponda kwenye Mitandao hawakai Ilala. Wanakaa Kivule, Majimatitu na Bombambili

Azzan Zungu: Wanaoponda kwenye Mitandao hawakai Ilala. Wanakaa Kivule, Majimatitu na Bombambili

CCM inatoaga wapi hawa watu. Kwani hakuna watu wengine wa kuongoza? Mtu anapepesuka tu bado anakomaa na ubunge watu tuko milioni 60
 
Mzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja.

Azzan Zungu: Najua hawa wote wanaopanda ponda kwenye mitandao hawakai Ilala, wao wanakaa Kivule, Bombambili, Majimatitu. Sisi watu wa Ilala tunataka maendeleo.

Tunataka lami kwenye majimbo ya Mjini tuweze kuchangia pesa za kutosha tusaidie majimbo ambayo hayana uwezo, leo Ilala tunakusanya bilioni 1.1 kwenye ada ya kupaki magari tu kwa mwezi.
Sina uhakika kama ni Hon Zungu aliyeongea hayo maneno maana nilitegemea ajibu hoja ya wabunge kupata hela nyingi sana pamoja na mafao wasiyo yachangia hata senti moja bila kukatwa kodo yoyote ile, hapo hapo anahamasisha serikali kukata wananchi wa kawaida kodi ya uzalendo kwenye simu na LUKU waakti wao hawatoi hata thumni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Hiyo ndiyo hoja ya msingi na siyo habari ya makusanyo ya parking za magari jimbo Ilala.
Common Hon Zungu, Please respond on main issue na siyo kututoa kwenye reli kiana
 
Mzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja.

Azzan Zungu: Najua hawa wote wanaopanda ponda kwenye mitandao hawakai Ilala, wao wanakaa Kivule, Bombambili, Majimatitu. Sisi watu wa Ilala tunataka maendeleo.

Tunataka lami kwenye majimbo ya Mjini tuweze kuchangia pesa za kutosha tusaidie majimbo ambayo hayana uwezo, leo Ilala tunakusanya bilioni 1.1 kwenye ada ya kupaki magari tu kwa mwezi.
Zungu bange za uzeeni zinampeleka puta
 
Mzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja.

Azzan Zungu: Najua hawa wote wanaopanda ponda kwenye mitandao hawakai Ilala, wao wanakaa Kivule, Bombambili, Majimatitu. Sisi watu wa Ilala tunataka maendeleo.

Tunataka lami kwenye majimbo ya Mjini tuweze kuchangia pesa za kutosha tusaidie majimbo ambayo hayana uwezo, leo Ilala tunakusanya bilioni 1.1 kwenye ada ya kupaki magari tu kwa mwezi.
Ametudhalilisha sana wazee wa Mission Quarter.
 
Mzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja.

Azzan Zungu: Najua hawa wote wanaoponda ponda kwenye mitandao hawakai Ilala, wao wanakaa Kivule, Bombambili, Majimatitu. Sisi watu wa Ilala tunataka maendeleo.

Tunataka lami kwenye majimbo ya Mjini tuweze kuchangia pesa za kutosha tusaidie majimbo ambayo hayana uwezo, leo Ilala tunakusanya bilioni 1.1 kwenye ada ya kupaki magari tu kwa mwezi.
Kwahiyo Wananchi wa Ilala ndio wamemtuma, na anawadharau Wana Ilala kana kwamba hawajielewi.Ubunge wenyewe kapewa na Mwendazake zake ndio maana anajeur Sana.Subir wajumbe wamkate akajifie na stroke.
 
Back
Top Bottom