B.20 za SSC zilizotolewa na Mwekezaji na Mo Dewji Ziko Kwenye Account Ipi na Bank Gani?

Ila waandishi wabongo kwanini wanakuwa wajuaji hivi hivi account ya benki itasaidia nini ikitajwa, wapi duniani tuliona account za benki zinatangazwa.

Watu mlishaambiwa kuwa hizo hela zitakuwa mtaji kwenye fixed accounts ( interest inayopatikana, ndio faida kwenye timu), pia nakumbuka MO alizungumzia mambo ya kukunua bonds ( kukopesha serikali kwa riba).

NB: watu wa fedha mtanirekebisha kama sijatumia maneno sahihi.

Asa mtu leo unaanza kuhoji hela iko wapi, ili iweje? Umesikia ni mgao kwamba watu watagawana?

Mbona hatuhoji Hela za Taasisi zingine ziko wapi?

MO amewakosea nini wabongo?
 
Hahahaha Josh J mbona una nongwa sana mkuu mbona hili la Bilion 20 tulishalimaliza na tukaonesha hundi yake kupitia Press na waandishi wa habari

Sema msijari sana tutaita press nyingine kwa ajili kueleza tumeweka Bilion 20 kwenye Bank hii
 
Mkuu tafuta hela,tumia nguvu zako zote na akili yako kutafuta hela,ukisha kua na hela hutahoji vitu ambavyo havina direct impact kwenye maisha yako binafsi,

Tafuta hela ili usije ukawa mzigo kwa wengine uzeeni mwako.
 
Mkuu issue ni ile janjajanja ya Mo dewji ndo maana jamii haina Imani nae kabisa
 
Mkuu tafuta hela,tumia nguvu zako zote na akili yako kutafuta hela,ukisha kua na hela hutahoji vitu ambavyo havina direct impact kwenye maisha yako binafsi,

Tafuta hela ili usije ukawa mzigo kwa wengine uzeeni mwako.
Tukiachana na maisha yetu binafsi pia kuna maisha ya vitu tunavyo vipenda sana ili maisha yaendelee kwa furaha ni lazima tuyagusie

Kwani Hamis Kigwangala alipokuwa anakazia kwenye hii Bilion 20, kwamba na yeye hana financial freedom yake binafsi?
 
Tukiachana na maisha yetu binafsi pia kuna maisha ya vitu tunavyo vipenda sana ili maisha yaendelee kwa furaha ni lazima tuyagusie

Kwani Hamis Kigwangala alipokuwa anakazia kwenye hii Bilion 20, kwamba na yeye hana financial freedom yake binafsi?
Kwahiyo mkuu wewe unaiga kwa kuangalia wengine wanafanyaje?

Mimi nimekupa ushauri,the rest is up to you.
 
Kwahiyo mkuu wewe unaiga kwa kuangalia wengine wanafanyaje?

Mimi nimekupa ushauri,the rest is up to you.
Haya mambo ni lazima yagusiwe iwe au isiwe mpk pale atakapo toa maelezo ya bank alipo deposit hiyo pesa

Ww kama upendi kuhoji swala hilo kutokana na kuwa vizuri kiuchumi na utajiri ulionao basi ni kwa upande wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…