B.A in Geography and Enviromental Studies

kazi zake zipo huku NEMC,MALI-ASILI, UNEP, TMA etc but UTASOTA SANA MKUU...!!

Nlikua nakutafuta mtu kama wewe unatoa details za wapi mtu anaweza kupata kazi pia unamwambia kabisa ATASOTA.
Thats how great thinker are supposed to be sio kuwa waropokaji ka tupo kwenye vigodoro Ramadhan Chasigwe
 
Last edited by a moderator:
Kaka issue ya ajira siku hizi karibu course zote ni ngumu hisipokuwa education ambayo nayo muda si mrefu itakuwa na ugumu, cha muhimu ni kujituma na kupiga kitabu inavyopaswa mf kuna jamaa yangu alikuwa hapa MWECAU zamani mwenge alikuwa anapiga hiyo bagen amemaliza juz hapa, field zake alipiga tanapa, na jamaa wiki ya majuz wamempa ajira na alikuwa hana ata refa ila kilichonsaidia ni kujituma alupokuwa field, na performance yake class

HUSIKATISHWE TAMAA NA HAWA WENYE MIDOMO MICHAFU WANAODHANI JF NI KWENYE TAARABU KAMA FB, NJOO UPIGE KITABU KIJANA UTENGENEZE GPA YAKO VIZURI NA KUPERFORM VIZURI WAKATI WA FIELD
 
thanks bro
 
aahhhaaa!!! cku iz sifa GPA,,, sema kijana upo kwenye competition na wanaosoma environmental engineering na environmental science,, ambao ni marketable sana................ tena wanasoma chuo bora, ardhi university
 
naeza sema umeingia choo cha kike,,, coz kuna vijana wa environmental engineering na environmental science wanasoma chuo bora, ARDHI UNIVERSITY, wako marketable sana, je utacompete nao?
 
naeza sema umeingia choo cha kike,,, coz kuna vijana wa environmental engineering na environmental science wanasoma chuo bora, ARDHI UNIVERSITY, wako marketable sana, je utacompete nao?

kwa research gani mliyofanya mkaona atakaposoma yeye sio bora? tanzania hii kinachomata ni kuwa competence kwenye eneo ulilosoma, haijalishi ni chuo gani, HR anayeangalia jina la chuo na sio competence ya mtu huyo atakuwa na shida kichwani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…